Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,471
Katika thread hii ningependa kupata majina ya viwanda na mashirika yaliyokuwa mali ya taifa na baadaye kubinafshwa. Kama kuna uwezekano naomba taarifa mwaka wa kuanzishwa kiwanda, capacity ya kiwanda, na sababu za kiwanda kubinafsishwa.
Inasemekana Nyerere aliacha viwanda au mashirika ya kiserikali zaidi ya 400. Kuelewa namba peke yake hakutoshi. Inabidi tupate majina na shughuli za taasisi hizo za kibiashara.
Vilevile ningependa sifa na lawama kuhusu uongozi wa Nyerere au Ujamaa zikae pembeni. Kwanini siasa za kujenga viwanda zilifanyika katika nchi za zote za kiAfrika bila kujali itikadi ya nchi hizo.
Karibuni
Wenu katika kusukuma gurudumu la ujenzi wa fikra pevu,
Za10.
1. National Housing Corporation (NHC), Bado linafanya kazi, lilianza mwaka 1962, lilifanyiwa mabadiliko 1990 (source post #2)
2. Tanzania housing Bank (THB), established by an Act of Parliament No.34 of 1972, become operational 1973. Capital 400 Tsh. Shareholder Tanzania government (46.5%), National Insurance Corporation (30.2%), National Provident Fund (23.3%)
THB collapsed in 1993. The demise of the Tanzania Housing Bank was prompted by the liberalization of the Banking Sector. The bank had issued many housing loans which were irrecoverable due to high default rate.
3. Tanganyika packers LTD was established in 1950, Ownership: Territorial government (51%), Liebig's meat Extract (49%), Nationalized in 1974, defunct
4. Tanzania Shoes Company - Viatu vya BORA
5. Tanzania Elimu Supplies - vifaa vya Elimu
6. Kampuni ya mabasi ya taifa -KAMATA
7. Shirika la Usafiri Dar-es-Salaam - UDA
8. Ubungo Garments
9. Ubungo Spinning Mills
10. Polysacks
11. Tanzania Sewing Thread
12. Coastal Dairies
Inasemekana Nyerere aliacha viwanda au mashirika ya kiserikali zaidi ya 400. Kuelewa namba peke yake hakutoshi. Inabidi tupate majina na shughuli za taasisi hizo za kibiashara.
Vilevile ningependa sifa na lawama kuhusu uongozi wa Nyerere au Ujamaa zikae pembeni. Kwanini siasa za kujenga viwanda zilifanyika katika nchi za zote za kiAfrika bila kujali itikadi ya nchi hizo.
Karibuni
Wenu katika kusukuma gurudumu la ujenzi wa fikra pevu,
Za10.
1. National Housing Corporation (NHC), Bado linafanya kazi, lilianza mwaka 1962, lilifanyiwa mabadiliko 1990 (source post #2)
2. Tanzania housing Bank (THB), established by an Act of Parliament No.34 of 1972, become operational 1973. Capital 400 Tsh. Shareholder Tanzania government (46.5%), National Insurance Corporation (30.2%), National Provident Fund (23.3%)
THB collapsed in 1993. The demise of the Tanzania Housing Bank was prompted by the liberalization of the Banking Sector. The bank had issued many housing loans which were irrecoverable due to high default rate.
3. Tanganyika packers LTD was established in 1950, Ownership: Territorial government (51%), Liebig's meat Extract (49%), Nationalized in 1974, defunct
4. Tanzania Shoes Company - Viatu vya BORA
5. Tanzania Elimu Supplies - vifaa vya Elimu
6. Kampuni ya mabasi ya taifa -KAMATA
7. Shirika la Usafiri Dar-es-Salaam - UDA
8. Ubungo Garments
9. Ubungo Spinning Mills
10. Polysacks
11. Tanzania Sewing Thread
12. Coastal Dairies