Uchaguzi 2020 Orodha kamili ya ambao hawatarudi Bungeni 2020 hii hapa

Inategemea uko mkoa/wilaya gani Kama upo Dar/Pwani kamata Shabiby Kama upo Mwanza kamata SATCO utafika Dodoma hatiamae na mjengoni utapaona hata kwa mbali tu mkuu

Typed Using KIDOLE

hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa hakuna bajaji ya moja kwa moja?
 
Katika kipindi hiki cha mzee baba nimekaa jimbo la kawe Mdee na sasa nipo ubungo kwa Mnyika nafikiri hawa bila kupepesa macho hawastahili kurudi sijawahi kuona chochote walichokifanya kwenye majimbo yao hata kuitisha tu mkutano na wananchi au kusikiliza kero za wananchi wao hamna kila siku wanasikika tu mara mahakamani mara sijui wamefukuzwa bungeni yaani drama juu ya drama ambazo hazina faida nadhani hawastahili kurudi kabisa
mkuu mnyika yupo kibamba.
ubungo yupo kubenea a.k.a tiamaji tiamaji kuunga mkono juhudi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na siasa
TL kinachombeba ni umaarufu na ule uanaharakati wake Ila kiperformance ndani ya Jimbo ni zero, na hao wote niliotaja Hakuna Cha maana wanachofanya kiufupi Wabunge wengi wa Upinzani wanachangamoto sana kwanzA wanafanyiwa figisu sana ili wananchi wengi tukose Imani nao pili wao wenyewe hawako makini na karibu kushughulika na Changamoto zetu sie wapiga kura wao..Unaweza Fanya hata tathmin tu mtizame Mh Halima Mdee na kawe yake Hakuna chamaana wanachofanya

Typed Using KIDOLE
Na siasa siku zote ni ujanjaujanja na kuongea kwingi,
 
Katika kipindi hiki cha mzee baba nimekaa jimbo la kawe Mdee na sasa nipo ubungo kwa Mnyika nafikiri hawa bila kupepesa macho hawastahili kurudi sijawahi kuona chochote walichokifanya kwenye majimbo yao hata kuitisha tu mkutano na wananchi au kusikiliza kero za wananchi wao hamna kila siku wanasikika tu mara mahakamani mara sijui wamefukuzwa bungeni yaani drama juu ya drama ambazo hazina faida nadhani hawastahili kurudi kabisa
Ngoja watetezi wao waje kuleta porojo hapa Ila Ukweli wanaujua kabisa!! Uchaguzi tuanaenda ni uchaguzi mwepesi mno kwa kila level!!

Typed Using KIDOLE
 
Huu uchaguzi mkuu ujao vikwazo vitafuatia kutokana na njama za wizi wa kura
Hakuna mtu atakaeibiwa kura!! Ila waTZ sahv sio mapopoma wa kiwango unachofkria wewe wakachagua watu wasio na Impact kabisa

Typed Using KIDOLE
 
Ngoja watetezi wao waje kuleta porojo hapa Ila Ukweli wanaujua kabisa!! Uchaguzi tuanaenda ni uchaguzi mwepesi mno kwa kila level!!

Typed Using KIDOLE
Wacha waje maana upinzani unatakiwa kweli lakini sio kila siku mahakamani mara kufukuzwa bungeni huku mitaa yetu kero tupu hatuwaoni
 
Prof Tibaijuka wakati akichangia hoja bungeni tar 3 Apr 2020, ametanabaisha wazi kuwa hatogombea tena ubunge ktk Jimbo la Muleba Kusini.Ametumia fursa hiyo kuaga.Kama WaTz tunamtakia kheri ktk maisha mapya nje ya Bunge. Sasa bila shaka kuna wabunge wengi hawatarudi mjengoni kutokana na sababu mbali mbali kama kukosa uwajibikaji na kutokuwa na outcome yoyote nzuri kwa wananchi waliomchagua...! Nani unadhani hatorudi na kwa sababu gani ..? Karibu
Yule anayelala kwenye mawe nae nilimsikia akisema
Nani anataka kukaa kwenye haya maofisi
Nahisi nae amechoka ile kazi
 
Back
Top Bottom