Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,592
Inategemea uko mkoa/wilaya gani Kama upo Dar/Pwani kamata Shabiby Kama upo Mwanza kamata SATCO utafika Dodoma hatiamae na mjengoni utapaona hata kwa mbali tu mkuu
Typed Using KIDOLE
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa hakuna bajaji ya moja kwa moja?