Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
- Thread starter
- #21
Mh. Lowassa, Mh. Lowassa, mzee wa watu, mzazi wa watu, baba wa watu... nakusihi nakusihi nakusihi - ng'atuka katika siasa. Vilio vya Watanzania na majonzi yao ni mengi baba. Wasikilize na kufanya jambo la busara kwa kuondoka katika siasa. Kumbuka Mwenyezi Mungu husikia vilio vya wengi na nina imani wewe ni mcha Mungu. Hivyo utafanya jambo la maana sana kama hutojiingiza katika siasa tena. Ahsante.