Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 119,288
- 222,345
Taarifa ya sasa duniani na hasa baada ya ccm kurudia makosa yale yale ya miaka yote , ya kukubali kushindwa hoja na kuamua kulitumia Jeshi la polisi kudhibiti Chadema badala ya viongozi wake wa chama akiwemo Shaka Hamdu ambaye ni Katibu wa uenezi na itikadi , zinadokeza kwamba hii Operesheni haki inayoendelea japo ni ya vikao vya ndani imeivuruga kabisa ccm na serikali yake kuliko hata operesheni Sangara ile ya miaka ya 2012 iliyokuwa inafanyika hadharani.
"Ubaya" uliogundulika wa operesheni haki hata kama ni vikao vya ndani ni uwepo wa CHADEMA DIGITAL , ambayo mpaka sasa inasemekana 70% ya vijana wanaojitambua na wasomi wanaitumia , imefanya kazi ya kampeni za operesheni haki ziwe nyepesi mno , IKUMBUKWE KWAMBA VIJANA WASOMI WENGI WA TANZANIA HAWAKUAJIRIWA KWA MIAKA 6 SASA , hii imekuwa ushahidi wa wazi kwa vijana wengi kuthibitisha kushindwa kwa CCM katika kuboresha maisha yao
Habari hii ya moto wa Operesheni haki ndio iliyosababisha shida yote hii kwenye kogamano la Katiba mpya huko Mwanza .
Itaendelea...
"Ubaya" uliogundulika wa operesheni haki hata kama ni vikao vya ndani ni uwepo wa CHADEMA DIGITAL , ambayo mpaka sasa inasemekana 70% ya vijana wanaojitambua na wasomi wanaitumia , imefanya kazi ya kampeni za operesheni haki ziwe nyepesi mno , IKUMBUKWE KWAMBA VIJANA WASOMI WENGI WA TANZANIA HAWAKUAJIRIWA KWA MIAKA 6 SASA , hii imekuwa ushahidi wa wazi kwa vijana wengi kuthibitisha kushindwa kwa CCM katika kuboresha maisha yao
Itaendelea...