Open university.

kamsongole

Senior Member
Apr 20, 2013
111
15
salamu ndugu, mwenzenu natafuta compani ya kusoma nayo course ya postgraduate diploma ya education. kama mpo tuwasiliane tafadhali, si mnajua tena umoja ni nguvu? hivi kuna chuo kinatoa full time ya course hii?
 
ndiyo shida ya open materials na discussion group hakuna huku kwangu. vipi udsm watakuwa bado wanapokea maombi kwa sasa?
 
ndiyo shida ya open materials na discussion group hakuna huku kwangu. vipi udsm watakuwa bado wanapokea maombi kwa sasa?
nenda kaulizie pale faculty ila watu walituma maombi siku nyingi sasa wanafanya usajili ,ila huwezi jua Tz lolote linawezekana.
 
Back
Top Bottom