Cainan
JF-Expert Member
- Jun 14, 2017
- 424
- 488
Habarini za kazi wapendwa wote
Naomba kufahamishwa kuhusiana na utaratibu au elimu ya chuo tajwa hapo juu
Ningependa kusoma Moja ya kozi , as for now I'm interested in parsuing bachelor of ICT
Kikubwa zaidi kilichonivutia ni ya kuwa elimu yake hutolewa as distance learning kama sijakosea
Mwenye details zaidi kuhusiana na hiki chuo naomba hatujulishe mana unaweza soma huk unafanya shughuli nyingine
Naomba kufahamishwa kuhusiana na utaratibu au elimu ya chuo tajwa hapo juu
Ningependa kusoma Moja ya kozi , as for now I'm interested in parsuing bachelor of ICT
Kikubwa zaidi kilichonivutia ni ya kuwa elimu yake hutolewa as distance learning kama sijakosea
Mwenye details zaidi kuhusiana na hiki chuo naomba hatujulishe mana unaweza soma huk unafanya shughuli nyingine