...Kumbe wao wanajua kutunza rasilimali zao kwa ajili ya Vizazi vyao vijavyo eh? kwa nini na sisi tusiwaambie hizo ekari zetu 500,000 hatuwezi kuwapa kwa sababu ni kwa ajili ya vizazi vyetu vijavyo?????
TOfauti ni kuwa wao hawajaomba kwa Fao wala Food Programme na kuepusha kuzidi kuomba chakula kwa Japan ndio JK alipoona bora ubia katika kuzalisha.
Kama tunaweza kufa kwa njaa kuliko kuitowa sehemu ya ardhi kwa ajili ya kilimo kitachotusaidia nasi basi na tuiweke hiyo ardhi na kungoja hao watoto watakaokufa kwa njaa wafufuke na kuja itumia hiyo ardhi.