Mie kwanza huwa nashangaa mtu unanunuaje simu kwa mtu wakati maduka yapo!
sometimes we don't walk our talks! hahahahahah mtwara salama...nipo dar now ila narudi tena kesho...vp shwari lkn???Mpwa mbona umeniuzia iphone 5 juzi ina maana maduka sikuyaona?hahaaaa..mtwara salamaaaa?
Jamani tunabidi tufikirie jambo moja, ukitaka kudumu kwenye biashara, inabidi tuwe waaminifu. Wabongo tumekuwa hatuaminiani kabisa. Imagine kama angeconfirm kwamba simu yake ni kopo, labda kuna watu wangependa hivyo hivyo na angeuza. Lakini anadanganya na kujikwamisha kibiashara. Udanganyifu ni adui wa biashara.
rekebisha usemi kuna wauza simu humu wana maduka yao kama Godfrey Electronics sasa wewe unapotoa onyo sielewi
Hapa kila mtu kakomaa akili akiona simu akaipenda humu anawasiliana muuzaji anaiona face yake akiridhika ndo analipa
usitaku ku implant spirit mbaya kwa watu
pia hii ni sehemu ya biashara sana so ktk soko au market place mambo kama hayo hayakosi ni wewe tu kuangalia wapi kuna ukweli na uhakika
Hope nimeeleweka na sitaki tangazo hili likutwe na wageni sababu litachafua jukwaa kwa mambo ambayo yanaitaji umakini wa mnunuaji
Uwezi enda duka la vifaa used ukakurupuka kununua kitu
pia kama ujui hili soma sticky hapo juu kaweka robot inayotutahadharisha na haya yote
Lidumu jukwaa la matangazo
Kumekuwa na matangazo mengi sana yahusuyo mauzo ya simu na vitu vingine,
ila mimi nitaongelea zaidi kwenye simu,
simu nyingi zinazouzwa humu ni vimeo utakuta mtu anajua kimeo kinaelekea kumfia anakitupia huku,
juzi kuna jfmember nusu nimpeleke polisi kama si huruma iliyonijia ghafla,
wengi wanauza vimeo vilivyoshindikana au cm za kuungaunga kwa mafundi!
USHAURI:Tuache uvivu twende madukani,simu mpya na guarantee bei rahisi,tupunguze tamaa za kupata vitu vizuri kwa bei za kutupa