Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,771
- 218,393
Natoa onyo kwa Mamlaka zitakazoruhusu kuingiza siasa kwenye mechi za Simba na Yanga dhidi ya Wapinzani wao kuacha kufikiria jambo hilo.
Hatutarajii kwenye uwanja wa Mkapa kuona mabango ya Wanasiasa , hatutakubali picha ya Mbunge wa Temeke wala Diwani wa kata ya miburani.
Ukiwa na kiherehere cha kubeba bango basi ni vema uwe na picha za wachezaji wetu na makocha wao tu , atakayekaidi wito huu atabeba lawama, maana haraka sana tutageuka na kuwashangilia wageni
Tusilaumiane.
Hatutarajii kwenye uwanja wa Mkapa kuona mabango ya Wanasiasa , hatutakubali picha ya Mbunge wa Temeke wala Diwani wa kata ya miburani.
Ukiwa na kiherehere cha kubeba bango basi ni vema uwe na picha za wachezaji wetu na makocha wao tu , atakayekaidi wito huu atabeba lawama, maana haraka sana tutageuka na kuwashangilia wageni
Tusilaumiane.