On Mbowe: Man, Family Life and Politics

Status
Not open for further replies.
Calnde, I know he is literate, most of us are, I was wondering if he "reads". Not asking about local dailys here. The man wants to be head of state, I'm curious what kind of reading he gets up to. How is Arusha?

Hivi mmeshawahi kujiuliza huyu mkulu wa nchi anayerukaruka leo hapa kesho kule kutafuta wawekezaji na umaarufu wa kimataifa anasoma au alisoma vitabu gani? Hivi kweli anao muda wa kusoma hata kitabu kimoja? Ni swali tu ambalo limenikuna mvi zangu.
 
Jasusi
JK huwa hasomi, anasomewa. Na sasa amesogeza mtaalam mpya wa kumsomea upepo wa kisasa...I mean anatafuniwa yeye anameza tu..so ile afya ya chakula anameza mtafunaji...makapi ndo JK anatucheulia kwenye hotuba zake
 
Najua wenye JF huwa mnakuwa so EMOTIONAL threads za Freeman Zikianzishwa na hamchelewi kuzihamisha lakini hiyo itakuwa siyo fair kwa sababu ili ni jukwaa la SIASA na hapa ndipo mahala pa kumjadili uyu mtu ambaye anaweza kuchaguliwa kuwa THE NEXT PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA


Siwezi kushangaa hili kutokea Tanzania tena baada ya Elections za Marekani kuisha nimeamini kuwa kama taifa lililo na wasomi kama lile nusra limchague SARAH PALIN kuwa makamu wa rais wao na of course wao wasomi wanao wengi kuliko sisi...na how can we forget walimchagua BUSH kwa miongo miwili so we cant rule out FREEMAN MBOWE kuwa rais wetu lakini cha ajabu we know very little about him na sana sana anikumbusha IAN DUNCAN SMITH ( wa conservative) ambaye media walimpachika jina kuwa ni THE SILENT MAN kitu ambacho Freeman anaelekea kuwa nacho. In short DR SLAAA anafanya mengi zaidi CHADEMA kuliko FREEMAN ambaye we know little about his PUBLIC LIFE as well as PRIVATE LIFE

jamani ukumbu wenu sasa tumjadili huyu maana CHADEMA kwa mtazamao wangu wana chance kubwa kuliko CUF ambao naona wanaongozwa na MAD PROFESSOR ambaye hana dira wala mwelekeo sasa lest not waste out valuable time kujadili wale maloser
 
GT,
Do you have an obsession with Mr. Mbowe? Get a book and chill.

Come on, this man could the next president and you dont us to know anything about him and his policies?

What is it? fearing the unknown?
 
Ok naona mnasua sua (probably kwa kuogopa michango yenu itafutwa or otherwise) but i will still put my two cents. WARNING! some of you might not stomach what i think of Freeman Mbowe (THE POLITICIAN)


Hakuna siyejua kuwa withing CHADEMA bwana Freman Mbowe is struggling. Since becoming CHADEMA chairman I cannot think of a day that FM has had that may be deemed successful....considering amekuwa mstari wa mbele ku bandwagon akina ZITTO na DR SLAA



Since FREEMAN MBOWE became CHADEMA chairman, the main thing I've learned about him is that he is unusually selfish, even for a politician. Every decision he takes is weighed up according to one criteria only: will it help the political career of Freeman Mbowe? I don't know if this habit of thought developed over ten years of sniping at MAALIM SEFU, or whether Freeman was always quite so selfish. But I don't believe he thinks much at all about what's best for Tanzania. In fact, that question may not have occurred to him for some time.


Recent CCM govt mishandling of the economy and endless scandals from BOT to RICHMOND would have made Freeman the Politician lakini wapi!!! It was Dr SLAAA na ZITTO ambao wamkuwa akipiga makelele left and right (japo ni ya kinafiki at times kwa sababu ya opportunistic tendencies za hao watajwa). My first reaction was the FREEMAN was a man who told everyone what they wanted to hear and kept his own opinion to himself. But now I question whether he actually had an opinion at all about the consequences of labour movement within East Africa or the autonomy of Zanzibar. I suspect he viewed these issues purely in terms of his own career. Would these so called corruption scandals help Freeman Mbowe become President? That was the only question I believe he asked.



Once you start thinking about it, this selfishness explains a lot of the mysteries about Freeman Mbowe. Guys take it from me. If a man cant run a night club what makes you think he can run a country of 40 million people?

Mpaka leo sielewi kulikuwa na ulazima gani wa kutumia ma milioni ya shilingi kukodi helicopter kufanya kampeni kule TARIME wakati wananchi wa kawaida wakiwa hawana hata senti za kulisha familia zao kule. YES sikatai CHADEMA walishinda uchaguzi lakini kitendo cha wao kuruka juu kama ndege kuwakimbia wananchi wa kawaida kilikuwa very misguided na mbaya zaidi CCM na ujinga wao nao wakaamua kufuata nyayo zao kukodisha helicopter kwa gharama za kutisha


Hebu semeni if the alternative ndio huyu then I am certain we are shocked...lakini about a year ago kuna poster mmoja hapa JF alisema hivi:


2. Freeman Mbowe – failed in school, failed in business, failed in politics, and all this after being born in the royal family, the House of Mbowe. And he still has the audacity to vie for Presidency. In the current political state of play, he is irrelevant, and, as a HIPC (Heavily Indebted Party Chairman), he is finished as a politician.


labda wengine mnaweza kuwa na maoni tofauti lakini huwa naogopa sana kama sijasikia kwa zaidi ya miaka 2 any major policy statement toka kwa the so called RAIS MTARAJIWA

Kama hawezi why not kumpisha WILBROAD SLAA ambaye naye tuliambiwa hivi:
5. Wilbrod Slaa – a former man of God who could not keep his celibacy vow, but thinks we are foolish enough to expect him to keep his word as a politician. This is an overeager and noisy politician who is constantly betrayed by his unchecked libido. His life at the moment is consumed by the struggle to take credit for anything and everything about grand corruption, because at some point in his political life he mentioned the phrase "grand corruption". With all that is going on at the moment, his noise has become background noise.

sasa makes you wonder...kama hao wawili hawafai nani apewe tochi? well dont worry tunaambiwa kuna kijana chipukizi bwana ZITTO KABWE mbaye naye mwaandishi alisema hivi:
6. Zitto Kabwe – has matured over the past year, perhaps because he is being reasonable enough to hang around with as many people as possible or because he is being open-minded enough to accept token bribes from the CCM establishment. Certainly has a great future in politics.


All in all I find it more plausible that the key difference with Dr SLAA is that he's politically-speaking, chronically long-sighted and really can't do the day-to-day stuff. Given that FREEMAN MBOWE was myopic beyond belief, that didn't seem so bad a thing at first. But now, I've lost track of the issues where we've had Mbowe's people thinking it's OK to claim policy reversals are no such thing.
 
GT we haya tu acha kupigia tarumbeta kule pa kutolea sauti shauri zako!!! kwi kwi kwi kwi
 
Kwani Billicanas imekufa? na je Mheshiiwa Mbowe anategemea Billicanas peke yake kama chanzo chake cha mapato?
 
Nilidhani selfishness ni sifa kuu ya binadamu yeyote aliyekamilika (nasisitiza nilidhani). Kama hivyo sivyo, basi tuna matatizo makubwa nchi zaidi ya Freeman Mbowe kwa sababu ukiwaweka viongozi wengi kwenye mizani, utabaini kuwa selfishness imewatawala wengi.
Nilidhani pia kuwa kiongozi wa chama anatakiwa kusimamia sera za chama, si zake yeye kama yeye. Lakini Mkuu GT umeniacha zaidi pale unapomsema Mbowe kuwa katika kipindi fulani hujamsikia Mbowe akisema lolote la maana katika kipindi kirefu. Huoni kuwa kuna uwezekano hujamsikia kwa sababu hujamsikiliza? Kwa sababu naamini, katika kipindi hicho Mbowe amesema mengi sana kama mwanasiasa, hasa ukizingatia sifa uliyompa kwamba anajifikiria zaidi mwenyewe kuliko maslahi ya Taifa. Itashangaza sana iwapo mtu ambaye ni mbinafsi kwa kiasi hicho asiseme lolote.
Naomba unishawishi zaidi nikubaliane na kauli zako
 
Nina suggestion moja mhimu kabisa; kwa mtazamo wangu naamini sera za chama then from there mnafuata mtu; mnajua sana ni jinsi gani Presida wetu alikuwa m mvuto;watu wakaamini kuwa anaweza; wakasahau kuwa sera za chama ndio mwisho wa kelele zake; sasa watu wanalalamika; watu sasa wanaipenda chadema hasa kwa sababu walau imejipambanua kwa utofauti kidogo kuliko vingine; angalia swala la wakuu wa wilaya na miko kufukuzwa; kuunda majimbo yakiongozwa na maseneta wa kanda; kugawanya raslimali kwa mtazamo huo; haya na mengine ukilinganisha na vyama vingine ambavyo kwa kisi kikubwa havina jipya sawa na CCM. So Chama kwanza then Mtu; Unaweza kuwa na chuki binafis na mbowe ila chadema itabaki hivyo akigombea au sigombee naamini yeyote atakaye toka chadema kuna misingi iliyo ktk sera yake itamuongoza bila shida; Obama hajawahi kufanya Biashara mbona kawaacha wafanyabiashara wakubwa; Mbowe kutokuwa na biashara sio tatizo hata kidogo; najua Mbowe ana Degree nzuri inatosha sawa na rais wengine wote wa Tz; maana hatujawahi kutawaliwa na DR/Prof. Nawasilisha ( tuzungumzie sera si mtu hiyo uswahili usio na maana)
 
"Great minds discuss ideas; Average minds discuss events; Small minds discuss people."
-Eleanor Roosevelt
 
Nina suggestion moja mhimu kabisa; kwa mtazamo wangu naamini sera za chama then from there mnafuata mtu; mnajua sana ni jinsi gani Presida wetu alikuwa m mvuto;watu wakaamini kuwa anaweza; wakasahau kuwa sera za chama ndio mwisho wa kelele zake; sasa watu wanalalamika; watu sasa wanaipenda chadema hasa kwa sababu walau imejipambanua kwa utofauti kidogo kuliko vingine; angalia swala la wakuu wa wilaya na miko kufukuzwa; kuunda majimbo yakiongozwa na maseneta wa kanda; kugawanya raslimali kwa mtazamo huo; haya na mengine ukilinganisha na vyama vingine ambavyo kwa kisi kikubwa havina jipya sawa na CCM. So Chama kwanza then Mtu; Unaweza kuwa na chuki binafis na mbowe ila chadema itabaki hivyo akigombea au sigombee naamini yeyote atakaye toka chadema kuna misingi iliyo ktk sera yake itamuongoza bila shida; Obama hajawahi kufanya Biashara mbona kawaacha wafanyabiashara wakubwa; Mbowe kutokuwa na biashara sio tatizo hata kidogo; najua Mbowe ana Degree nzuri inatosha sawa na rais wengine wote wa Tz; maana hatujawahi kutawaliwa na DR/Prof. Nawasilisha ( tuzungumzie sera si mtu hiyo uswahili usio na maana)


You really should improve your reading comprehension if you want to engage in debate. Read the whole of my #2 again and see if you can understand what I posted.


Your habbit of cherry-picking bits and arguing against them out of context is doing no one any favours.
 
We should talk about POLICIES jamani la sivyo tutaanza umbeya hapa ambao hata wanaosema hatawajui na pengine hawataki tuwajue; lets talk about policies; policy ipi inaweza kututoa hapa tulipo kusonga mbele; naona watu hatujajifunza; Obama ameshinda kwa sababu ya sera; mpinzani wake alidhani ukimshambulia mtu utashinda; chukua tarime CCM ilienda na sera moja tu kifo cha wangwe; ndg zake wangwe wakanununuliwa; chadema ikajikita kuwaeleza watu ktk sera; mliona; naombeni sana tuanze kuongelea sera ipi itaweza kututoa baada ya hiyo CCM kushindwa; watu wanaweza hata ku-sugest changes ktk hiyo policy wanayoitaka ili mabadiliko yaje haraka; hope all of us have a dream that one day Tanzania will be ruled by a party that understands the need of the poor people; 2005 acute poor was 11.1M people; 2007 acute poor people were 12.7M; Think big; think how to get out of acute poorness we have though even america knows we have resources; we should have a dream na kuacha umbeya; ili taifa lisonge mbele
 
Kwani Billicanas imekufa? na je Mheshiiwa Mbowe anategemea Billicanas peke yake kama chanzo chake cha mapato?

Haijafa, inafanyiwa ukarabati mkubwa. Pamoja na Bilicanas, Mbowe anamiliki pia hoteli nyingine inaitwa Protea Aishi-iko Moshi. Sijui kama ana biashara nyingine zaidi ya hizo
 
Kwani Billicanas imekufa? na je Mheshiiwa Mbowe anategemea Billicanas peke yake kama chanzo chake cha mapato?


Billicanas iko kwenye matengenezo ya hali ya juu ikifunguliwa hope itakua one of the best Clubs in east and Central Africa.
Nimepewa tour mwenyewe na mdau mmoja ni aibu!jamaa kajitahidi kwa viwango vya juu sana
 
Ukiamua kuwa public figure basi ukubali mambo yako yote yawe nje, weaknesses and strengths. Then wapiga kura wanaamua, pamoja na weakness yake tunayoyajua tunamchagua, kwa sababu weakness zinaoverweigh strength. Na vile vle wanapiga kura wanahiari ya kumchagua mtu ambayo strengths zinaoverweigh weaknesses. Hivyo ni vizuri kujua strengths and weaknesses.

Hakuna aliyemkamilifu na tujifunze kukubali mapungufu yetu.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom