Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,882
- 10,193
Inaweza kuwa ni siku ya pilisi kweli kabsaa..damu inapoanza kutoka haiji kama bomba hivyo kama ndo imemuanza ni lazma vingetoka kidogo siku ya pili au baada ya masaa 6 nakuendelea ndo damu hutoka kwa kasi..lakin siku ya kwanza tena kaw muda huo huo damu itoke vile...labda kama ameharibu mimba.