Ombi maalumu kwa Mheshimiwa Kikwete

Mwafrika wa Kike:

Kikwete anachemsha BIG TIME. Pamoja na hayo itakuwa vizuri kama tutaanza kuonyesha resources gani JK atumie kupambana na matatizo unayoyaona.

Bin Maryam,

Kuna msemo unasema kuwa desperate solutions for desperate issues na kuna mwingine una mengi lakini naweka machache tu hapa ...... then stop the bleeding first......

Katika hili Kikwete na watanzania wako kwenye desperate position na hii bei ya umeme na nishati inaathiri kila kitu kuanzia bei ya usafiri hadi uwezo wa watu kununua (au kutunza pesa) na kuwa na uhakika wa maisha yao ya baadaye.

Inapofikia wananchi wanajiuliza kama wanunue chakula au walipie umeme basi ujue kuwa hali imekuwa ngumu. Multiplying effect ya bei ya nishati sasa inaathiri kila kitu na kunakoelekea itakuwa ni the worst scenario ya depression.

Kinachoombwa hapa ni emergency measures ili kurudisha confidence ya wananchi economically na hakika kuwa energy prices zikizuiwa kupanda kwa sasa basi vitu vingine vitasimama kupanda bei na kwa taratibu lakini kwa hakika bei zote zitastabilize.

Ukiuliza kuwa serikali itumie resources gani kusaidia katika hili nadhani jibu unalo kuwa waaache matumizi ya ajabu ikiwemo ya kuendesha baraza la mawaziri kwa zaidi ya bilioni moja kwa mwezi na mengineyo mengi ili kunusuru taifa.

Kuna uwezekano mkubwa kuwa tunachofanya ni kuomba serikali kufanya vitu ambavyo imejaribu kuvifanya kwa zaidi ya miaka 40 bila mafanikio au mafanikio madogo sana.

Au kuna uwezekano mkubwa tu kuwa serikali ilichukua majukumu ambayo haikutakiwa kuyachukua.

Tunachoomba hapa ni serikali kuacha kufanya kile ambacho imekuwa inafanya for 40 years - business as usual - na kutojali wananchi wengi. Serikali kuna wakati inabidi iache ubadhirifu na matumizi mabaya ya pesa za kodi ili kusaidia kustabilize uchumi wa nchi kwenye nyakati kama hizi.

Kuna mtu anatoa mfano wa Joji Bush kutoa rebate hili kuchochea shughuli za uchumi. Mpaka sasa bajeti ya serikali ya Marekani ina madeni makubwa. Je rebate checks zinatoka kwenye mfuko gani? Ukweli ni kuwa rebate checks zitaongeza deni la serikali. Na baadaye kulipa deni ili itabidi serikali ikate mifuko ya kuwasaidia wananchi au iongeze kodi.

Hili la marekani na rebate checks lina ubishi mkubwa katika circle za economists ila in the end wote wamekubaliana kuwa kwa sasa kurudisha confidence kwenye economy ni muhimu kuliko deni la taifa - desperate solutions for desperate issues.....
 
kweli kabisa naona kuna watu humu wakati mwingine wana rukia mambo au either ni miongoni mwa mafisadi wakijaribu kuondoa ile dhumuni ya mada, email amabayo kandika dada hapo juu ni sawa kabisa sasa Rais ni Jukumu lake yeye kuchuja,huwezi lipa umeme kwa gharama kubwa ivo!!
 
Sasa hapa mwenye pumba ni nani? Yaani wewe unaona umeme sio tatizo kubwa halafu bado unafikiri una akili?! Watu kama nyie mnahitaji elimu maalumu ya uraia, tena wewe unahitaji one to one tuition kuhusu elimu ya siasa maana inaonekana una matatizo sio madogo!




LAITI KAMA

WOTE HUMU JF MNGEKUWA NA UFAHAMU MSINGE ANGAIKA HIVI,INAMAANA HAMJUI KUWA KUNA WATU WANALIPWA PESA ZA KODI ZENU ILI KUKATISHA TAMAA NA KUVUNJA MOYO MUONE WATU WENGI WAPO UPANDE WA JK NA WENGINE NIMEONA MMEISHA VUNJIKA MOYO MNAANZA KUWAUNGA MKONO.MMESAHAU KUWA MBWA MWITU KAVAA NGOZI YA KONDOO NA AMEINGIA ZIZINI(JF) KUJI MIX NASISI.


Masaki Masaki is offline
Senior Member

Join Date: Tue Mar 2006
Location: Dar es Salaam

Default Re: Mambo Muhimu 5 JK anapaswa kufanya kabla ya 2010
Kuhusu barabara kuna kipande cha kilometa 60 kwenye barabara iendayo mikoa ya Kusini. Sijui kama kimepata mkandarasi ( I assume the funds were there)

Pia, pesa za Millenium Challenge zitumike bila kuchelewa, kwani kazi ya ku appoint wakandarasi sioni ina haja gani ya kuchukua miaka miwili.


CHEKI HAPA ANAJIJIBU MWENYEWE

Masatu Masatu is online now

Kipande hicho kimeshapata mkandarasi ( Kharafi & sons) na ujenzi unaanza Terehe 1, Mwezi ujao

__________________
The greatest lesson in life is to know that even fools are right sometimes
Reply With Quote

ANGALIA HAPO JUU WALIVYO NA DHARAU JAMANI TUMEVAMIWA
 
Mheshimiwa Jakaya Kikwete,

Hongera sana kwa kuteuliwa kuwa kiongozi wa muungano wa Afrika kwa kipindi kijacho. Hongera pia kwa kufanikisha upatikanaji wa amani kwa majirani zetu Kenya. Hongera pia kwa kumualika raisi wa Marekani George Bush kutembelea Tanzania. Hongera pia kwa net za mbu ambazo Bush ametoa kwa watanzania. Hongera pia kwa kumtoa Mramba kwenye Baraza lako la mawaziri.

Pamoja na hongera na sifa zote hizi, pamoja na email zangu zote zilizopita ambazo nimekuwa nakuandikia (ingawa nimekuwa sipati majibu toka kwako au kwa wasaidizi wako), nimeamua kukuandikia hii email nyingine ambayo pia nitaiweka kwenye mtandao mtukufu wa JF (kama ushahidi) kama ombi maalumu kwako kushughulikia hili suala la bei ya umeme.

Mheshimiwa Kikwete, inawezekana kuwa huna taarifa ya hili ila ni kweli kuwa bei ya umeme imekuwa juu sana kiasi kwamba hali ya maisha ya watu inazidi kuharibika na kuelekea kwenye matatizo makubwa kifedha. Bei ya umeme kwa wastani kwa wengi wa wakazi wa Dar es salaam ni zaidi ya asilimia 50 ya kipato chao cha mwezi. Hii ni hatari sana hasa inapowafikisha wananchi kwenye mjadala wa kuamua kama wanunue chakula au walipie gharama za umeme.

Baadhi ya washauri wako wa uchumi wamesingizia sera za soko huria kama kigezo cha kutoingilia kati suala la umeme, na bei ya mafuta, sementi, usafiri nk. Naomba nikuhakikishie (kama kweli hukujua hili) kuwa hata hapa Marekani, rafiki yako Joji imebidi aingilie kati suala la mortgages baada ya kuona kuwa uchumi wa nchi unaporomoka na mabenki yanafilisika. Kuna wakati ambao inabidi serikali iingilie kati biashara binafsi ili kunusuru maisha ya wananchi wake wa kawaida.

Safari yangu niliyofanya Tanzania mwezi december, niligundua kuwa hata dawa ya mswaki ni ghali Tanzania ambako bei ya kufanya kazi ni rahisi kuliko marekani (dola 6 vs dola 2). Sitakuuliza kuwa uingilie kati ili kushusha bei ya dawa ya mswaki au dawa ya sementi, mafuta, usafiri nk. Lakini mheshimiwa Raisi, kwa vile bado uzalishaji na usambazaji wa umeme uko chini ya serikali, ni vizuri ukaingilia kati na kuwaokoa wananchi wako na hii dhahama.

Bado sijui kwa nini serikali inayalipa makampuni ya IPTL, Kiwira, Richmond na Dowans, Songas, nk mapesa yote haya kuzalisha umeme na bado unakuwa ghali hivi (kuna taarifa kuwa haya yote yanalipwa wakati hayazalishi chochote). Naomba pia nikukumbushe kuwa rafiki ya Joji na serikali yake wanakatisha mikataba ya makampuni mbalimbali na serikali (mfano boeing na contract yake ya kutengeneza ndege za kijeshi nk) kila mara inapogundulika matatizo katika mikataba na utekelezaji wake.

Chondechonde Kikwete, najua kuna mengi huwezi kufanya lakini hili la umeme ni muhimu sana kwa maslahi ya watanzania wengi.

Asante sana!

Mwafrika wa kike hongera kwa kuja Tz Mwezi Dec na kurudi ulipotoka hili nijambo zuri la kukupongeza kwani wengi hawafanyi hivo.

Langu ni sahihisho ktk maombi yako umeuliza why serekali inayalipa makampuni ulotaja nachotaka kukurekebisha ni kua RICHMOND hailipwi na ni non existing co hata DK Mwakiembe amethibitisha hilo ktk utafiti uloligharimu Taifa Pesa Nyingi ambazo hatujui ni kiasi Gani sita ameshindwa kutuambia kwahiyo serekali hailipi kitu kwa Richmond.

Naomba kuwasilisha
 
Mwafrika wa kike hongera kwa kuja Tz Mwezi Dec na kurudi ulipotoka hili nijambo zuri la kukupongeza kwani wengi hawafanyi hivo.

Langu ni sahihisho ktk maombi yako umeuliza why serekali inayalipa makampuni ulotaja nachotaka kukurekebisha ni kua RICHMOND hailipwi na ni non existing co hata DK Mwakiembe amethibitisha hilo ktk utafiti uloligharimu Taifa Pesa Nyingi ambazo hatujui ni kiasi Gani sita ameshindwa kutuambia kwahiyo serekali hailipi kitu kwa Richmond.

Naomba kuwasilisha

Asante mtoto wa mkulima, nadhani umeona katika post yangu nimetumia maneno (Richmond na Dowans) kwa makusudi kabisa ili kuwaweka pamoja hawa identical twins. Kuna watu wengi hawaijui Dowans lakini wanaijua Richmonduli so it was done conviniently.
 
Mheshimiwa Jakaya Kikwete,

Hongera sana kwa kuteuliwa kuwa kiongozi wa muungano wa Afrika kwa kipindi kijacho. Hongera pia kwa kufanikisha upatikanaji wa amani kwa majirani zetu Kenya. Hongera pia kwa kumualika raisi wa Marekani George Bush kutembelea Tanzania. Hongera pia kwa net za mbu ambazo Bush ametoa kwa watanzania. Hongera pia kwa kumtoa Mramba kwenye Baraza lako la mawaziri.

Pamoja na hongera na sifa zote hizi, pamoja na email zangu zote zilizopita ambazo nimekuwa nakuandikia (ingawa nimekuwa sipati majibu toka kwako au kwa wasaidizi wako), nimeamua kukuandikia hii email nyingine ambayo pia nitaiweka kwenye mtandao mtukufu wa JF (kama ushahidi) kama ombi maalumu kwako kushughulikia hili suala la bei ya umeme.

Mheshimiwa Kikwete, inawezekana kuwa huna taarifa ya hili ila ni kweli kuwa bei ya umeme imekuwa juu sana kiasi kwamba hali ya maisha ya watu inazidi kuharibika na kuelekea kwenye matatizo makubwa kifedha. Bei ya umeme kwa wastani kwa wengi wa wakazi wa Dar es salaam ni zaidi ya asilimia 50 ya kipato chao cha mwezi. Hii ni hatari sana hasa inapowafikisha wananchi kwenye mjadala wa kuamua kama wanunue chakula au walipie gharama za umeme.

Baadhi ya washauri wako wa uchumi wamesingizia sera za soko huria kama kigezo cha kutoingilia kati suala la umeme, na bei ya mafuta, sementi, usafiri nk. Naomba nikuhakikishie (kama kweli hukujua hili) kuwa hata hapa Marekani, rafiki yako Joji imebidi aingilie kati suala la mortgages baada ya kuona kuwa uchumi wa nchi unaporomoka na mabenki yanafilisika. Kuna wakati ambao inabidi serikali iingilie kati biashara binafsi ili kunusuru maisha ya wananchi wake wa kawaida.

Safari yangu niliyofanya Tanzania mwezi december, niligundua kuwa hata dawa ya mswaki ni ghali Tanzania ambako bei ya kufanya kazi ni rahisi kuliko marekani (dola 6 vs dola 2). Sitakuuliza kuwa uingilie kati ili kushusha bei ya dawa ya mswaki au dawa ya sementi, mafuta, usafiri nk. Lakini mheshimiwa Raisi, kwa vile bado uzalishaji na usambazaji wa umeme uko chini ya serikali, ni vizuri ukaingilia kati na kuwaokoa wananchi wako na hii dhahama.

Bado sijui kwa nini serikali inayalipa makampuni ya IPTL, Kiwira, Richmond na Dowans, Songas, nk mapesa yote haya kuzalisha umeme na bado unakuwa ghali hivi (kuna taarifa kuwa haya yote yanalipwa wakati hayazalishi chochote). Naomba pia nikukumbushe kuwa rafiki ya Joji na serikali yake wanakatisha mikataba ya makampuni mbalimbali na serikali (mfano boeing na contract yake ya kutengeneza ndege za kijeshi nk) kila mara inapogundulika matatizo katika mikataba na utekelezaji wake.

Chondechonde Kikwete, najua kuna mengi huwezi kufanya lakini hili la umeme ni muhimu sana kwa maslahi ya watanzania wengi.

Asante sana!

Jamani wana JF ambao hamuoni points alizotoa mwadada wetu hapa basi mna lenu jambo. Mimi nimependezwa sana na email ya mwanadada huyu. Kama raia wa Tanzania anayo haki kisheria na kikatiba kuwasilisha mawazo yake kwa mkuu wa nchi. Na bila shaka kabisa tutakubaliana umeme umekuwa ni tatizo sugu katika nchi yetu. Bei ya umeme ni kubwa hivyo si rahisi kwa mtanzania wa kawaida kuweza kutumia ama kupata umeme. Miezi michache iliyopita ukitaka kufunga umeme ilikubidi ulipie mpaka bei ya nguzo kutoka katika transforma hadi katika nyumba yako, na hiyo inafanya connection fees kuwa kubwa. Pamoja na kulipa hiyo connection fees bado umeme hupati, na kama unapata ni mgao.

Email ya mwanadada huyu ninaiunga mkono na mguu, kwani ni kweli Mhe. Raisi ana mambo mengi ya kufanya huenda hakupata kusikia ama kuona tatizo hili lakini kwa kutumiwa email anapata message.
 
Swala la Kwanza nililojiuliza what is operating cost ndani ya TANESCO? Jee kupanda kwa mafuta katika soko huria lina implication gati ndani ya Tanesco. Jee price ya mafuta imepanda kwa asilimia ngapi compare to 50% iliyopandishwa na Tanesco.

Tatizo linakuja JK hana wachumi wenye ufahamu wa domino effect. Bank kuu imeshindwa kufanya monitory policy ambazo zitapunguza inflation rate.

Mwafrika wa Kike umesema dawa ya Colgate ina cost 6 dolla in Tanzania compare to US where is 2 dolla. Jee what is inflation rate in US compare to Tanzania. Tanzania leo mlipuko wa bei ni more than 15% annual. Na kisha tunapandisha umeme kwa 50%, what next ni 2009 tutacheza na rate ya 20% or more kwenye kila sector.

Sasa kama mshauri wa Jakaya ana degree ya kunegosiate mapigano ya baina ya nchi na nchi then what are u expecting?

Swala ni mmoja tuu nalo ni kuivunja Tanesco kwenye vipande vipande kisha serikali ikabaki kucontrol yale mabwawa.
Nimeshalia nalo hilo kila siku, ukivunja Tanesco into zones then karibisha wawekezaji katika sector ya umeme then let Tanesco compete, na kama haiwezi kushindana wacha iondolowe kwenye business.

Umeona TTCL, sasa inabidi wafanye kazi maana Tigo, Vidacom, Zantel and Celtel zinachuana kisawasawa. Kazi ya seriakali ni fisical policy na sio kuendesha kiwanda.
 
Mheshimiwa Jakaya Kikwete,

Hongera sana kwa kuteuliwa kuwa kiongozi wa muungano wa Afrika kwa kipindi kijacho. Hongera pia kwa kufanikisha upatikanaji wa amani kwa majirani zetu Kenya. Hongera pia kwa kumualika raisi wa Marekani George Bush kutembelea Tanzania. Hongera pia kwa net za mbu ambazo Bush ametoa kwa watanzania. Hongera pia kwa kumtoa Mramba kwenye Baraza lako la mawaziri.

Pamoja na hongera na sifa zote hizi, pamoja na email zangu zote zilizopita ambazo nimekuwa nakuandikia (ingawa nimekuwa sipati majibu toka kwako au kwa wasaidizi wako), nimeamua kukuandikia hii email nyingine ambayo pia nitaiweka kwenye mtandao mtukufu wa JF (kama ushahidi) kama ombi maalumu kwako kushughulikia hili suala la bei ya umeme.

Mheshimiwa Kikwete, inawezekana kuwa huna taarifa ya hili ila ni kweli kuwa bei ya umeme imekuwa juu sana kiasi kwamba hali ya maisha ya watu inazidi kuharibika na kuelekea kwenye matatizo makubwa kifedha. Bei ya umeme kwa wastani kwa wengi wa wakazi wa Dar es salaam ni zaidi ya asilimia 50 ya kipato chao cha mwezi. Hii ni hatari sana hasa inapowafikisha wananchi kwenye mjadala wa kuamua kama wanunue chakula au walipie gharama za umeme.

Baadhi ya washauri wako wa uchumi wamesingizia sera za soko huria kama kigezo cha kutoingilia kati suala la umeme, na bei ya mafuta, sementi, usafiri nk. Naomba nikuhakikishie (kama kweli hukujua hili) kuwa hata hapa Marekani, rafiki yako Joji imebidi aingilie kati suala la mortgages baada ya kuona kuwa uchumi wa nchi unaporomoka na mabenki yanafilisika. Kuna wakati ambao inabidi serikali iingilie kati biashara binafsi ili kunusuru maisha ya wananchi wake wa kawaida.

Safari yangu niliyofanya Tanzania mwezi december, niligundua kuwa hata dawa ya mswaki ni ghali Tanzania ambako bei ya kufanya kazi ni rahisi kuliko marekani (dola 6 vs dola 2). Sitakuuliza kuwa uingilie kati ili kushusha bei ya dawa ya mswaki au dawa ya sementi, mafuta, usafiri nk. Lakini mheshimiwa Raisi, kwa vile bado uzalishaji na usambazaji wa umeme uko chini ya serikali, ni vizuri ukaingilia kati na kuwaokoa wananchi wako na hii dhahama.

Bado sijui kwa nini serikali inayalipa makampuni ya IPTL, Kiwira, Richmond na Dowans, Songas, nk mapesa yote haya kuzalisha umeme na bado unakuwa ghali hivi (kuna taarifa kuwa haya yote yanalipwa wakati hayazalishi chochote). Naomba pia nikukumbushe kuwa rafiki ya Joji na serikali yake wanakatisha mikataba ya makampuni mbalimbali na serikali (mfano boeing na contract yake ya kutengeneza ndege za kijeshi nk) kila mara inapogundulika matatizo katika mikataba na utekelezaji wake.

Chondechonde Kikwete, najua kuna mengi huwezi kufanya lakini hili la umeme ni muhimu sana kwa maslahi ya watanzania wengi.

Asante sana!

watu wamelia toka enzi hizo hakuna suluhisho pole sana TANZANIA
 
Back
Top Bottom