Ladslaus Modest
JF-Expert Member
- Jun 27, 2008
- 635
- 20
Mkuu wakati mwingie unawachokoza, umeisha sisikika
Kigumu Chama Cha Mapinduzi
Kigumu Chama Tawala na Zidumu fikra sahihi za mwenyekiti....sasa mkuu wewe huchangii hoja una kuja kila wakati na chorus yako, bila shaka unatafuta matusi mengine
ushi
Mkuu Ushirombo,
kwani kusema 'kidumu chama cha mapinduzi' ni kosa?
Unanikumbusha wakati mfumo wa vyama vingi unaanza, baadhi ya vyama walikuwa hawana sera 'zaidi ya matusi'.