Ng'azagala
JF-Expert Member
- Jun 7, 2008
- 1,286
- 221
Mkuu Gembe, umeeleza vizuri. hawa vijana na hata mabango yao wala si ya uchochezi bali ni kufikisha tu ujumbe walionao kwa jamii ni kama tu magazeti. watanzania tuna uhuru wa ku eleza matatizo yetu pasipo kubughudhiwa na mtu yoyote. hapa ni hasira tu za uongozi wa chuo ndiyo zinasababisha wanafunzi wateseke, hii ni mbaya sana.
hata hiyo kesi itafutika tu mbona zile za mwaka jana zilifutika baada ya kuona makosa ya wanafunzi yanatakiwa yasikilizwe na uongozi wa chuo na wapewe adhabu na chuo?
hata hiyo kesi itafutika tu mbona zile za mwaka jana zilifutika baada ya kuona makosa ya wanafunzi yanatakiwa yasikilizwe na uongozi wa chuo na wapewe adhabu na chuo?