Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 218
Ndugu umewahi kukaa na kujiuliza Mtanzania wa kawaida anayefanyakazi Serikalini na baadhi ya sekta binafsi ana pumzika siku ngapi kwa mwaka ? Umewahi kuhesabu kuna sikukuu ngapi zinazotambuliwa na serikali ambazo zinalazimisha mfanyakazi huyu akapumzike nyumbani ?
Ukiacha sikukuu hizo Mfanyakazi huyu anakuwa na likizo ya karibu mwezi moja kila mwaka kama mkataba wake wa kazi unavyosema hapo jumlisha na siku zake za kuumwa , siku za kwenda Kwenye misiba ya ndugu jamaa na marafiki na siku zingine za sherehe za kiofisi ?
Ukijumlisha sikukuu zote hizo pamoja na siku zingine za likizo misiba ETC unaweza kupata Mtanzania wa kawaida anakaa karibu mwezi mmoja unusu kwa mwaka bila kufanya kazi , jumlisha na masaa aliyotegea kwa kulala makazini au kuchelewa kufika huko makazini unaweza ukashangaa sana .
Kwa hali hii naomba kutoa ombi la kupunguzwa sikukuu na siku zingine za mapumziko kwa Nchi yetu pamoja na kurekebisha sheria zingine wa kazi ili kuleta ufanisi katika utendaji wa kazi
Ukiacha sikukuu hizo Mfanyakazi huyu anakuwa na likizo ya karibu mwezi moja kila mwaka kama mkataba wake wa kazi unavyosema hapo jumlisha na siku zake za kuumwa , siku za kwenda Kwenye misiba ya ndugu jamaa na marafiki na siku zingine za sherehe za kiofisi ?
Ukijumlisha sikukuu zote hizo pamoja na siku zingine za likizo misiba ETC unaweza kupata Mtanzania wa kawaida anakaa karibu mwezi mmoja unusu kwa mwaka bila kufanya kazi , jumlisha na masaa aliyotegea kwa kulala makazini au kuchelewa kufika huko makazini unaweza ukashangaa sana .
Kwa hali hii naomba kutoa ombi la kupunguzwa sikukuu na siku zingine za mapumziko kwa Nchi yetu pamoja na kurekebisha sheria zingine wa kazi ili kuleta ufanisi katika utendaji wa kazi