Ivan Breaker
JF-Expert Member
- Jun 13, 2020
- 1,379
- 5,488
Habari!
Ni Ivan Breaker, nimefanikiwa kuwa miongoni mwa wawania tuzo za vijana chipukizi Tanzania zilizoandaliwa na @youthawards_tanzania. Kwa sasa ninafanya shughuli zote za mambo ya Digital Marketings.
Nipo Katika kipengele cha Tech-Preneur Of The Year 2023. Ukiwa kama ndugu/rafiki au mdau wangu unayeniSupport katika kazi zangu, naomba nichukue muda wako mfupi uniwezeshe kupata KURA yako ambayo unaweza nipigia kura kupitia
Jinsi ya kupiga Kura
Tembelea tovuti : www.teya.or.tz/vote
-Ukiingia hapa moja kwa moja inakupelekea kwenye sehemu za washiriki.
-Utaenda kwenye Profile yangu ( ) pembeni yake kuna sehemu ya Vote utaClick.
-Itakupeleka kuSign in With Google Account, utaSign in kisha itarudi kwenye kuVote ndio UtaVote maana bila Google account Kura haihesabiki.
Mwisho kabisa nawakumbusha Tikets bado zinapatikana, ni kwaajili ya Event hii ya usiku wa Tuzo za vijana, ambayo itafanyika siku ya tarehe 15 mwezi huu, Mlimani city hall
Kura yako ni muhimu kwangu. Vijana tumeamua kujiendeleza tunaomba Support zenu wakuu, ni muhimu sana kwetu
Ni Ivan Breaker, nimefanikiwa kuwa miongoni mwa wawania tuzo za vijana chipukizi Tanzania zilizoandaliwa na @youthawards_tanzania. Kwa sasa ninafanya shughuli zote za mambo ya Digital Marketings.
Nipo Katika kipengele cha Tech-Preneur Of The Year 2023. Ukiwa kama ndugu/rafiki au mdau wangu unayeniSupport katika kazi zangu, naomba nichukue muda wako mfupi uniwezeshe kupata KURA yako ambayo unaweza nipigia kura kupitia
TEYA | Tanzania Emerging Youth Awards
www.teya.or.tz
Jinsi ya kupiga Kura
Tembelea tovuti : www.teya.or.tz/vote
-Ukiingia hapa moja kwa moja inakupelekea kwenye sehemu za washiriki.
-Utaenda kwenye Profile yangu ( ) pembeni yake kuna sehemu ya Vote utaClick.
-Itakupeleka kuSign in With Google Account, utaSign in kisha itarudi kwenye kuVote ndio UtaVote maana bila Google account Kura haihesabiki.
Mwisho kabisa nawakumbusha Tikets bado zinapatikana, ni kwaajili ya Event hii ya usiku wa Tuzo za vijana, ambayo itafanyika siku ya tarehe 15 mwezi huu, Mlimani city hall
Kura yako ni muhimu kwangu. Vijana tumeamua kujiendeleza tunaomba Support zenu wakuu, ni muhimu sana kwetu