Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
Tunaomba mchukue hatua haraka, msipochukua Hatua za haraka kulinusuru Taifa basi Watanzania waliochoka saaaana na haya maisha watatafuta mbadala wa Kupata Haki yetu.Nyie tumewapa dhamana ya kuongoza mapambano dhidi ya udhalimu,uozo unaofanywa na Ccm na Viongozi wake woooote.Basi tutachukua sheria mkononi na msije juta na kurudi kujilahumu kabisa.Naomba kuwasilisha.