Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
aisee nna uchungu mnoo hope ingekuwa kesho, saa ya ukombozi inakujaaaa magamba out!!!!
<br />Naunga mkono hoja kwa 100% lazma kieleweke 2
<br />Tunaomba mchukue hatua haraka, msipochukua Hatua za haraka kulinusuru Taifa basi Watanzania waliochoka saaaana na haya maisha watatafuta mbadala wa Kupata Haki yetu.Nyie tumewapa dhamana ya kuongoza mapambano dhidi ya udhalimu,uozo unaofanywa na Ccm na Viongozi wake woooote.Basi tutachukua sheria mkononi na msije juta na kurudi kujilahumu kabisa.Naomba kuwasilisha.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Tamthilia ya Mangi
<br />Naunga mkono hoja kwa 1000000%
<br />Maneno maneno tu na mikwala ya dogo ya Magwanda!
wewe acha upupu wako hapa, wamejificha vipi?mtumia jina lako kama wewe ni mwanaume uliye kamilika uje na huwo upupu wako uonejinsi utakavyoshughulikiwa ila ona makamnda tunavyo kunja front na name zetu za ukweli siyo yako ya bandia, siku zote nasema ukibishana na kilaza na wewe utakuwa kilaza....<br />
<br />
Unaunga mkono huku umejificha nyuma ya Laptop? Ujulikani jitokeze barabarani kama wewe una uchungu unaleta porojo tu
<br />wewe acha upupu wako hapa, wamejificha vipi?mtumia jina lako kama wewe ni mwanaume uliye kamilika uje na huwo upupu wako uonejinsi utakavyoshughulikiwa ila ona makamnda tunavyo kunja front na name zetu za ukweli siyo yako ya bandia, siku zote nasema ukibishana na kilaza na wewe utakuwa kilaza....
hatua gani wachukue..sumu haijaribiwi kwa kuionja, mambo yenu ya vyama mfanye kwa uangalifu.