sekulu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 988
- 157
Mimi nilikua nafuatilia kwa makini sana, nikajawa na mawazo ya kijinga mengi sana likiwemo la kuombea bajeti ya nchi yangu iingie kwenye maajabu ya dunia huenda ikasaidia kuinua uchumi!
Maajabu mengine ni pamoja na Twiga wanaopanda Ndege!!!!
So tujivunie jamani!!!!
Maajabu mengine ni pamoja na Twiga wanaopanda Ndege!!!!
So tujivunie jamani!!!!