OMBI: Bajeti ya Tanzania iingie kwenye maajabu ya Dunia

sekulu

JF-Expert Member
Jan 17, 2011
988
157
Mimi nilikua nafuatilia kwa makini sana, nikajawa na mawazo ya kijinga mengi sana likiwemo la kuombea bajeti ya nchi yangu iingie kwenye maajabu ya dunia huenda ikasaidia kuinua uchumi!

Maajabu mengine ni pamoja na Twiga wanaopanda Ndege!!!!

So tujivunie jamani!!!!
 
I really like your suggestion. Chezea bongo land. Kila kitu kinawezekana hapa, hivi wale twiga nao walifungwa mikanda? lol
 
nakumbuka nlisoma mkwawa kuna mwl mmoja alikuwa anaitwa mgimwa
na alikuwa mfupi na mnoko tukawa tunaita visoda vidogo vile vipapli mgimwa
kwa waliokaa Lumumba East watakuwa wanampata sana
naona leo Mgimwa nae kaja na bajeti ndogo kama visoda vidogo ambayo
haimsaidii mtanzania wa leo.Tunazidi kutaabika.
 
nakumbuka nlisoma mkwawa kuna mwl mmoja alikuwa anaitwa mgimwa
na alikuwa mfupi na mnoko tukawa tunaita visoda vidogo vile vipapli mgimwa
kwa waliokaa Lumumba East watakuwa wanampata sana
naona leo Mgimwa nae kaja na bajeti ndogo kama visoda vidogo ambayo
haimsaidii mtanzania wa leo.Tunazidi kutaabika.

Mapato ni madogo kuliko matumizi, mbaya zaidi ni kwamba matumizi ya kawaida ni makubwa kuliko matumizi ya kimaendeleo.

E Tanzania nchi yangu nakupenda saaaana endelea kuonyesha maajabu yako ktk dunia hii!!!!
 
Mimi nilikua nafuatilia kwa makini sana, nikajawa na mawazo ya kijinga mengi sana likiwemo la kuombea bajeti ya nchi yangu iingie kwenye maajabu ya dunia huenda ikasaidia kuinua uchumi!

Maajabu mengine ni pamoja na Twiga wanaopanda Ndege!!!!

So tujivunie jamani!!!!
we kiboko.....u made my day
 
Is our education budget really this astronomical?
The amount Kenya allocated to the education sector is equal to 29.93 per cent of Tanzania’s budget, 60 per cent of Uganda’s budget and bigger than Rwanda’s total budget.
 
EBU TUJILINGANISHE NA YALIYOKO KWENYE BAJETI YA JIRANI ZETU KENYA:

Here is a snapshot of the 2012/2013 budget statement read by Finance Minister Robinson Githae. This year’s budget was a record Ksh 1.45 Trillion and infrastructural projects in the country were the biggest gainers. Ksh 268.1 Billion has been set aside for infrastructure development.

Orphans and vulnerable children will receive Ksh 4.4 Billion while deserving elderly people will receive 2,000 monthly from the Ksh 1 Billion Fund. Bright orphans were allocated Ksh 1.1 Billion for their bursary.

Kenya Youth Empowerment project will receive Ksh 490 million while the Youth Enterprise and Women Funds have been boosted by Ksh 450 million and Ksh 550 million respectively. CCTV will be installed in the Central Business District at a cost of 4.15 Billion, Ksh 148 Billion for the county governments. Ksh 1.8 Billion for resettlement of the Internally Displaced Persons (IDPs).

Education sector gets Ksh 233 Billion: Ksh 300 million for sanitary towels for poor girls in the country; 1.8 Billion for classes; Free Secondary education has been given 19.3 Billion; Ksh 1 Billion to enforce the Alcohol Control Act popularly known as the ‘Mututho Law’; IEBC will receive Ksh 17.5 Billion. Health sector: Ksh 85 Billion that is expected to employ 5,200 health workers and 900 doctors. Inputs for Medical Kits will be exempted from duty, Increase in duty of galvanized wire from a zero-rating to 10% in order to protect local industries. Agriculture: Ksh 8 Billion for irrigation; Ksh 10 Billion for Agribusiness. Duty on food supplements will be reduced from 10% to 0%. Ksh 1.5 Billion to write off Farmer’s debts .

Roadblocks and weighbridges to be removed so as to ease trade in the region
. Ksh 1.45 Billion for rail commuter system. Ksh 83.5 Billion allocated for security. Zero-rate duty on set-top boxes that will be used in digital TV migration. KRA will embark on mapping all residential areas to ensure all landlords are brought into the tax net and all rental income taxes are paid. Duty on secondhand cloths (Mitumba) import to be reduced. Other things to note on the budget are; No tax exemptions by virtue of holding public office, Banks to absorb liability of omissions and commissions of their agents and recommendation of introduction of laws to regulate the scrap metal business. The government has suffered greatly from vandalism on railway lines and theft of road signs, breaking of the proposed law will lead to a fine of Ksh 1 million.

Source: Celebrating the Kenyan Story: Kenya Budget 2012/2013
 
Kabla ya kujilinganisha na jirani zenu, mbona bajeti ya Tz iwekwe kwenye maajabu ya ulimwengu? Ilikosa nini?
 
Mama Mdogo wenzetu wanaona mbali san ana wanajitahidi kuyafanya maisha ya wananchi wao kuwa bora
Sisi tumebobea kwenye matumizi kama budget nzima 70% ni matumizi usitarajie makubwa
 
ANGALIA VIPAU MBELE VYA WENZETU HAPA KENYA:

Finance Minister Robinson Njeru Githae (picture below) took the budget speech in parliament today/14/6/2012. The 1.45 trillion 2012/2013 budget is the biggest in Kenya since independence. To accelerate growth and expand the levels of employment and reduce poverty, Government's initiatives will focus on:
(i) restoring and maintaining macroeconomic stability;
(ii) continuing investment in infrastructure,in particular, roads, energy, rails, ports and ICT;
(iii) deepening structural reforms, including improving governance with implementation of the Constitution;
(iv) enhanced regional integration and accessing new and emerging markets; and
(v) targeted support for small and medium enterprises, as well as initiatives to increase value addition in agriculture to increase job creation

NJERU-GITHAE.jpg
 
Back
Top Bottom