KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,144
- 32,902
Tena ingewezekana angemzaba na kofi kuonyesha msisitizo wa alichokiamuru.....zama za kubembeleza na kuchekeana zimekwisha....hizi sio zama za kuchekeana na majizi....maaana ukicheka na nyani lazima utavuna mabua....