mwongozowaspika
Member
- Jan 30, 2012
- 11
- 6
- Thread starter
- #21
Birigita, kwa taarifa yako nimelitumikia hili taifa kwa muda mrefu sana ,nimesema nasikitikia taifa langu kwani wale vijana niliowadhania kumbe sio , Kama unaheshimu waliokuzidi kidogo kwa lolote acha matusi jibu hoja ama kosoa kwa staha kidogo.