Ole Medeye una la kujibu jimboni

jembe afrika

JF-Expert Member
Jan 15, 2014
7,604
3,753
Ninaandika kwa masikitiko sana juu ya huyu aliyekua naibu wazir wa ardhi.

Nakumbuka kwa mara ya kwanza kumuona alipokuwa kwenye kampeni wakati akinadiwa Ngaramton mh. rais,kweli alinadiwa kwa mbwembwe zote na kuahidi atamaliza tatizo la migogoro ya ardhi na maji,na bahati nzuri akachaguliwa wizara husika ya ardhi,mpaka leo naandika hapa hakuna hata moja umetekeleza na bahati mbaya umeng'olewa kwenye uwazir.

Maji ndoo moja inauzwa 500 angali tumezungukwa na mlima Meru unaomwaga mamilion ya lita kwa siku.

Tunakusubiri kwa hamu maswali tunayo mengi,

Jiandae.
 
Poleni sana, sasa mtakuwa mmetambua ya kuwa hawa jamaa matendo yao na maneno yao tofauti. Msubirini 2015 aje awabembeleze tena mumpe...
 
Kama kuna mwaka nimejikuta nikiwa ktk furaha kubwa,basi ni mwaka huu,baada ya mh Rais Kikwete kumtupa nje ya baraza la Mawaziri huyu Mkabila OLE MEDEYE!

Kikwete amefanya janbo la busara sana kumtoa nje huyu Mkabila
Ole Medeye ameambukizwa ugonjwa wa Ukabila na Lowassa ndio maana mh Kikwete kamtosa ktk baraza la mawaziri.
 
Kama kuna mwaka nimejikuta nikiwa ktk furaha kubwa,basi ni mwaka huu,baada ya mh Rais Kikwete kumtupa nje ya baraza la Mawaziri huyu Mkabila OLE MEDEYE!

Kikwete amefanya janbo la busara sana kumtoa nje huyu Mkabila
Ole Medeye ameambukizwa ugonjwa wa Ukabila na Lowassa ndio maana mh Kikwete kamtosa ktk baraza la mawaziri.
kweli kabisa mkuu
 
Medeye badala ya kutatua matatizo jimboni mwake anashughulika na Lema wa Arusha mjini.
 
Ninaandika kwa masikitiko sana juu ya huyu aliyekua naibu wazir wa ardhi.

Nakumbuka kwa mara ya kwanza kumuona alipokuwa kwenye kampeni wakati akinadiwa Ngaramton mh. rais,kweli alinadiwa kwa mbwembwe zote na kuahidi atamaliza tatizo la migogoro ya ardhi na maji,na bahati nzuri akachaguliwa wizara husika ya ardhi,mpaka leo naandika hapa hakuna hata moja umetekeleza na bahati mbaya umeng'olewa kwenye uwazir.

Maji ndoo moja inauzwa 500 angali tumezungukwa na mlima Meru unaomwaga mamilion ya lita kwa siku.

Tunakusubiri kwa hamu maswali tunayo mengi,

Jiandae.

Mh Olemedeye ameanza safari ingine na swahiba wake; hiyo safari imejaa misukosuko ya kila aina muda wa kurudi nyuma kuja kuangalia jimbo hatakuwa nao kwa kipindi hiki kuelekea 2015
 
Mh Olemedeye ameanza safari ingine na swahiba wake; hiyo safari imejaa misukosuko ya kila aina muda wa kurudi nyuma kuja kuangalia jimbo hatakuwa nao kwa kipindi hiki kuelekea 2015
kwa hiyo tumetelekezwa?
 
Wabunge wa ccm mizigo hapa muheza maji ndoa 1000,mbunge habart mtangi ccm ame tumaliza ila hata wamlete nani wa ccm hatumtaki chaguo letu kwa chadema
 
Sio yeye tu hata lema hamna chochote alichokifanya . 2015 watasikiliza bunge kwenye redio
 
Ninaandika kwa masikitiko sana juu ya huyu aliyekua naibu wazir wa ardhi.

Nakumbuka kwa mara ya kwanza kumuona alipokuwa kwenye kampeni wakati akinadiwa Ngaramton mh. rais,kweli alinadiwa kwa mbwembwe zote na kuahidi atamaliza tatizo la migogoro ya ardhi na maji,na bahati nzuri akachaguliwa wizara husika ya ardhi,mpaka leo naandika hapa hakuna hata moja umetekeleza na bahati mbaya umeng'olewa kwenye uwazir.

Maji ndoo moja inauzwa 500 angali tumezungukwa na mlima Meru unaomwaga mamilion ya lita kwa siku.

Tunakusubiri kwa hamu maswali tunayo mengi,

Jiandae.

Anaimairasha ccm iluyobomoka
 
Sio yeye tu hata lema hamna chochote alichokifanya . 2015 watasikiliza bunge kwenye redio

Unaongea au unaharisha?

Tuulize tunaoishi Arusha tukueleze Arusha ilikuwa vip kabla ya Lema na sasa inaonekana vip?
 
Kama mnakumbukumbu nzuri Godbless Lema hana mda mrefu alimsema bungeni kuhusu ukabila. Matokeo yake ndio hayo!
 
Unaongea au unaharisha?

Tuulize tunaoishi Arusha tukueleze Arusha ilikuwa vip kabla ya Lema na sasa inaonekana vip?

Toa utaahira wako hapa unadhani naishi wapi? Acha kuwa msukule kijana. Nieleze alichofanya lema tokea ameingia madarakani?
 
Back
Top Bottom