zaratustra
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 848
- 223
"Nyerere Baba wa Taifa ee, Nyerere Jemedari wetu ee!
Tunakusifu kiongozi wetu, kwa kazi kubwa unayoifanya ya Ukombozi......"
Wimbo ulipigwa na kuimbwa na Mlimani Park, Sikinde Ngoma ya Ukae mwaka 1979! Yaani ni kama walijua ataitwa BABA WA TAIFA!!
Tunakusifu kiongozi wetu, kwa kazi kubwa unayoifanya ya Ukombozi......"
Wimbo ulipigwa na kuimbwa na Mlimani Park, Sikinde Ngoma ya Ukae mwaka 1979! Yaani ni kama walijua ataitwa BABA WA TAIFA!!