OIC: Mbwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo

mbona kichwa cha habari hakiendani na content? Maelezo yanaonyesha uzuri wa oic lakini ww kwa chuki zako umeamua kupotosha
mbona issue ya tanzania kuingia oic ilishajulikana muda. Na malengo ya kuifanya tanzania kuwa nchi ya kiislam zinajulikana wazi . Uchomaji wa makanisa huko zanziba na mbagalla ni miongoni mwa mipango hiyo dhalimu. Akili mbona tunayo ila hatujui tu kiarabu chenu yaani by 2089 tanzania iingie rasmi kutumia sharia . Huu ni mpango wa miaka 100 wa kuislimisha tanzania.
 
Watanzania tukishabikia mambo haya ya udini, tutaangamiza taifa letu, nchi hii ni zaidi ya uislamu na ukristo. Wale walevi wa dini tunawaomba mtuachie nchi yetu salama kwa faida ya vizazi vijavyo!
 
Hili jambo ni Nyeti kwa mustakabali wa Taifa, tuombe wenye source kuaminika kuhusu OIC waziweke jamvini ili watu waifahamu na kusaidia kujua wawe na msimamo gani. Ushabiki au kejeli hazibadili fikra ZA watu.
 
Hili jambo ni Nyeti kwa mustakabali wa Taifa, tuombe wenye source kuaminika kuhusu OIC waziweke jamvini ili watu waifahamu na kusaidia kujua wawe na msimamo gani. Ushabiki au kejeli hazibadili fikra ZA watu.
 
Mh. Moh'd Raza, Mwakilishi wa jimbo la Uzini (CCM) Zanzibar anaona manufaa tele na faida kubwa kwa Zanzibar au hata Tanzania kujiunga na OIC na kuwa suala hili pia ni kero ktk masuala ya Muungano kwani madhumuni ya Zanzibar kuwa mwanachama OIC ni suala la NJAA na siyo DINI endele kusikiliz hoja zake ktk Baraza la Wakilishi:

 
Last edited by a moderator:
Kuna nchi nyingi hapa duniani zimejiunga na oic na wala hakuna matatizo,kwanini watanzania mna chuki? Acheni oic iwanufaishe watanzania hasa wananchi maskini

Hii ni moja ya hoja za Ponda na Fareed. Sasa sijui kunani....
Kumbe OIC inagawa hela, mbona ni kama sijawahi sikia wametoa msaada kwa masikini hawa wanaotaka kujiunga nao?
Je hizo "nchi nyingine nyingi" ni masikini kama Tanzania? Je zina mazingira yanayofanana na Tanzania? Je walipojiunga walikuwa na hali kama Tz.
Pamoja na hayo "uchunguzi wa sirikali bado unaendelea ili kujiridhisha" so tuwe na subira ya kupata majibu.
 
OIC, MBWA MWITU ALIYEVAA NGOZI YA KONDOO.

Jumuiya ya nchi za kiislam OIC[ organization of islamic conference] iliasisiwa mwaka wa 1969,

jumuiya hii ilianzishwa nchini MOROCCO tarehe 21Agust 1969 AD, au 12 Rajab 1389 H,

*. Jumuiya hii ilianzishwa kutokana na mashabulizi ya ISRAEL yaliyofanywa dhidi ya nchi za kiarabu, na kutekwa kwa mji wa YERUSALEM,[ AL-QUDA], katika vikao viwili kile cha MOROCCO tarehe 25 september 1969, na kile cha mjini JEDDAH cha mwezi machi 1970 kiliweka maazio ya kuuteuwa kwa muda mji JEDDAH kuwa makao makuu ya muda ya OIC ambapo kikao hicho kiliazimia kuwa MAKAO MAKUU YA KUDUMU YA OIC YATAKUWA NI YERUSALEMU.

Moja ya kipaumbele kikuu na lengo kuu la kuasisiwa kwa OIC ni kuikomboa YERUSALEMU kutoka mikononi mwa ISRAELI pamoja na msikiti MTAKATIFU WA AL-AQSA ulio sehemu muhimu kwa imani ya kiislam kwani AL-AQSA ndiyo QIBLA cha kwanza cha waislam kabla hakijageukia AL-KAABA. hivyo yaliwekwa maazimio matatu muhimu,

1. kujijengea uwezo kwa kufanya yafuatayo. [a] kujenga mshikamano miongoni mwa waislam,
kujenga mashirikiano ya jamii nzima ya kiislam,
[c] kuupigania uislam kwa kulindamaeneo MATAKATIFU pamoja kulinda vitabu VITAKATIFU,

2. kuunganisha nguvu ili [a] kupigania sehemu TAKATIFU.
kuunga mkono harakati za WAPALESTINA KUJIKOMBOA,
3.Kufanya kazi kwa pamoja
[a] kuondoa ubaguzi miongoni mwa waislam na
kueneza dini na utamaduni wa kiarabu. nk.

ili kufanikisha azma na malengo ya jumuiya vilianzishwa vyombo mbalimbali vya kusimamia shughuli zote kulingana na vipaumbele husika, ili kuyafikia malengo hayo KIKAO KILIGUSIA maeneo haya. ELIMU, SIASA, UCHUMI na DINI , mambo haya yaliwekwa chini ya KATIBU MKUU ili kuhakikisha kuwa malengo yanafanikiwa
1-KUHAKIKISHA KUWA ZINAANZISHWA SHULE ZA KIDINI[MADRASSA ] zitakazo toa ELIMU ya DINI-SIASA kazi kubwa ya shule hizi ni kujenga uadui kati ya UTAWALA WA KIZAYUNI[ISRAEL ] uliolikalia kwa nguvu eneo takatifu la yerusalem ulipo mskiti wa AL-AQSA , mbinu hii imesaidia sana kwani baada vijana wengi kufunzwa katika MADRASA hizi za DINI SIASA[ UDINI] tumewashuhudia wakitamka hadharani kuwa UTAWALA WA KIZAYUNI UNAPASWA KUFUTWA KWENYE RAMANI YA DUNIA NA PALESTINA LIWE TAIFA HURU,

chini ya mwamvuli huu mara kadhaa tumewasikia wahubiri wadini ya kiislam kama vile ABOOD MOHAMEDY ROGO, ANWAR AL AWALAKI, ABU QATADA, na wengineo wakiwahamasisha vijana wa kiislam kwenda PALESTINA kuwapigania ndugu zao.
Kivuli hiki cha DINI SIASA kimeendelea kukua hasa pale mataifa ya MAGHARIBI kuonekana wakiingua mkono ISRAEL, mafundisho haya ya dini siasa sasa yanazigusa hata nchi hizi zinazoonekana kuwa ni washirika wa utawala wa KIZAYUNI,
katika mafundisho haya ya DINI SIASA yaliyoasisiwa na OIC yamefanikiwa kuzalisha makundi ya KIGAIDI na MISIMAMO MIKALI YA DINI-SIASA[UDINI] ndiyo maana nchi ambazo zilikuwa za mwanzo kujiunga na jumuiya hii kwa sasa zinakabiliwa na mfumuko wa siasa kali za udini,
UDINI ulionwa kuwa ndiyo njia pekee ya kuyayafikia malengo, yaani kuwafundisha vijana wa kiislam kuwa ADUI YAO NI YULE ANAYEWANYIMA HAKI YA KUWA NA YERUSALEM.
hapa ndipo yalipoanza madai ya kile kinachoitwa MFUMO KRISTO, yaani washirika wa utawala wa MAZAYUNI
unaowanyima haki waislam, kwa kutumia mbinu za hali ya juu za kutengeneza mazingira wamefanikiwa kuziteka nyoyo za wengi.

Madhumuni ni mamoja tuu, KUKUSANYA NGUVU NA KUIKOMBOA YERUSALEM ILI IWE NI MAKAO MAKUU YA OIC.
hata hapa kwetu mafundisho haya tayari yamekwisha kupenyezwa.


Inahusu nini na OIC? kama si uongo na uzandiki huu ni nini? ndio mnavyofundishwa makanisani?

Cha kushangaza ni pale mnapozuwa vitu kutoka vichwani mwenu, hivi OIC ikiwa ipo kwa kuwaunganisha Waislaam kuna tatizo? hivi OIC ikiwapo kuwasaidia Waislaam kuna tatizo?
 
OIC, MBWA MWITU ALIYEVAA NGOZI YA KONDOO.

Jumuiya ya nchi za kiislam OIC[ organization of islamic conference] iliasisiwa mwaka wa 1969,

jumuiya hii ilianzishwa nchini MOROCCO tarehe 21Agust 1969 AD, au 12 Rajab 1389 H,

*. Jumuiya hii ilianzishwa kutokana na mashabulizi ya ISRAEL yaliyofanywa dhidi ya nchi za kiarabu, na kutekwa kwa mji wa YERUSALEM,[ AL-QUDA], katika vikao viwili kile cha MOROCCO tarehe 25 september 1969, na kile cha mjini JEDDAH cha mwezi machi 1970 kiliweka maazio ya kuuteuwa kwa muda mji JEDDAH kuwa makao makuu ya muda ya OIC ambapo kikao hicho kiliazimia kuwa MAKAO MAKUU YA KUDUMU YA OIC YATAKUWA NI YERUSALEMU.

Moja ya kipaumbele kikuu na lengo kuu la kuasisiwa kwa OIC ni kuikomboa YERUSALEMU kutoka mikononi mwa ISRAELI pamoja na msikiti MTAKATIFU WA AL-AQSA ulio sehemu muhimu kwa imani ya kiislam kwani AL-AQSA ndiyo QIBLA cha kwanza cha waislam kabla hakijageukia AL-KAABA. hivyo yaliwekwa maazimio matatu muhimu,

1. kujijengea uwezo kwa kufanya yafuatayo. [a] kujenga mshikamano miongoni mwa waislam,
kujenga mashirikiano ya jamii nzima ya kiislam,
[c] kuupigania uislam kwa kulindamaeneo MATAKATIFU pamoja kulinda vitabu VITAKATIFU,

2. kuunganisha nguvu ili [a] kupigania sehemu TAKATIFU.
kuunga mkono harakati za WAPALESTINA KUJIKOMBOA,
3.Kufanya kazi kwa pamoja
[a] kuondoa ubaguzi miongoni mwa waislam na
kueneza dini na utamaduni wa kiarabu. nk.

ili kufanikisha azma na malengo ya jumuiya vilianzishwa vyombo mbalimbali vya kusimamia shughuli zote kulingana na vipaumbele husika, ili kuyafikia malengo hayo KIKAO KILIGUSIA maeneo haya. ELIMU, SIASA, UCHUMI na DINI , mambo haya yaliwekwa chini ya KATIBU MKUU ili kuhakikisha kuwa malengo yanafanikiwa
1-KUHAKIKISHA KUWA ZINAANZISHWA SHULE ZA KIDINI[MADRASSA ] zitakazo toa ELIMU ya DINI-SIASA kazi kubwa ya shule hizi ni kujenga uadui kati ya UTAWALA WA KIZAYUNI[ISRAEL ] uliolikalia kwa nguvu eneo takatifu la yerusalem ulipo mskiti wa AL-AQSA , mbinu hii imesaidia sana kwani baada vijana wengi kufunzwa katika MADRASA hizi za DINI SIASA[ UDINI] tumewashuhudia wakitamka hadharani kuwa UTAWALA WA KIZAYUNI UNAPASWA KUFUTWA KWENYE RAMANI YA DUNIA NA PALESTINA LIWE TAIFA HURU,

chini ya mwamvuli huu mara kadhaa tumewasikia wahubiri wadini ya kiislam kama vile ABOOD MOHAMEDY ROGO, ANWAR AL AWALAKI, ABU QATADA, na wengineo wakiwahamasisha vijana wa kiislam kwenda PALESTINA kuwapigania ndugu zao.
Kivuli hiki cha DINI SIASA kimeendelea kukua hasa pale mataifa ya MAGHARIBI kuonekana wakiingua mkono ISRAEL, mafundisho haya ya dini siasa sasa yanazigusa hata nchi hizi zinazoonekana kuwa ni washirika wa utawala wa KIZAYUNI,
katika mafundisho haya ya DINI SIASA yaliyoasisiwa na OIC yamefanikiwa kuzalisha makundi ya KIGAIDI na MISIMAMO MIKALI YA DINI-SIASA[UDINI] ndiyo maana nchi ambazo zilikuwa za mwanzo kujiunga na jumuiya hii kwa sasa zinakabiliwa na mfumuko wa siasa kali za udini,
UDINI ulionwa kuwa ndiyo njia pekee ya kuyayafikia malengo, yaani kuwafundisha vijana wa kiislam kuwa ADUI YAO NI YULE ANAYEWANYIMA HAKI YA KUWA NA YERUSALEM.
hapa ndipo yalipoanza madai ya kile kinachoitwa MFUMO KRISTO, yaani washirika wa utawala wa MAZAYUNI
unaowanyima haki waislam, kwa kutumia mbinu za hali ya juu za kutengeneza mazingira wamefanikiwa kuziteka nyoyo za wengi.

Madhumuni ni mamoja tuu, KUKUSANYA NGUVU NA KUIKOMBOA YERUSALEM ILI IWE NI MAKAO MAKUU YA OIC.
hata hapa kwetu mafundisho haya tayari yamekwisha kupenyezwa.


....kamanda..hakika unajua mengi kuhusu OIC ...hususan malengo yake...lkn kwa uelewa uliouonesha sidhani kwamba hujui kuwa kimsingi..OIC ni muungano wa nchi zenye waislam, na si muungano wa nchi za kiislam...na ktk malengo yake itikadi za "sheikh robo & co" hazina nafasi...ukombozi unaozungumziwa ktk OIC ni ukombozi wa watu wote duniani ambao wanakandamizwa..!... dini siasa ni msiba wa ulimwengu...burma kunawaka moto..mgogoro wa"ayalendi na uingereza" msingi wake ni dini siasa..ni tatizo ambalo haliishi kwa waumini wa dini ya kiislam tu..kubwa ni ukweli kuwa OIC kimalengo na kimkakati haina mahusiano yoyote na ufidhuli wa kina "robo &co"...lkn yes..malengo na mikakati ya OIC yana mahusiano mazuri na ya moja kwa moja na harakati za wanazuoni wa aina ya marehem ahmed deedat wa south africa,imam marehem wareeth deen muhamad na imam malcom x wa us, na makundi kama vile PAGAD (people against drugs and gangstarism) ..OIC inatambua kuwa ili kuwe na amani lazima kusiwe na maugomvi, kudhulumiana, na kunyanyasana..!kamanda..chambilecho ras innocent galinoma (ktk shairi lililo kwenye kazi yake ya "kilimanjaro")...if we know all kind of evil, then hw forgeting the truth..!...
 
Inahusu nini na OIC? kama si uongo na uzandiki huu ni nini? ndio mnavyofundishwa makanisani?

Cha kushangaza ni pale mnapozuwa vitu kutoka vichwani mwenu, hivi OIC ikiwa ipo kwa kuwaunganisha Waislaam kuna tatizo? hivi OIC ikiwapo kuwasaidia Waislaam kuna tatizo?

wewe wasema
 
....kamanda..hakika unajua mengi kuhusu OIC ...hususan malengo yake...lkn kwa uelewa uliouonesha sidhani kwamba hujui kuwa kimsingi..OIC ni muungano wa nchi zenye waislam, na si muungano wa nchi za kiislam...na ktk malengo yake itikadi za "sheikh robo & co" hazina nafasi...ukombozi unaozungumziwa ktk OIC ni ukombozi wa watu wote duniani ambao wanakandamizwa..!... dini siasa ni msiba wa ulimwengu...burma kunawaka moto..mgogoro wa"ayalendi na uingereza" msingi wake ni dini siasa..ni tatizo ambalo haliishi kwa waumini wa dini ya kiislam tu..kubwa ni ukweli kuwa OIC kimalengo na kimkakati haina mahusiano yoyote na ufidhuli wa kina "robo &co"...lkn yes..malengo na mikakati ya OIC yana mahusiano mazuri na ya moja kwa moja na harakati za wanazuoni wa aina ya marehem ahmed deedat wa south africa,imam marehem wareeth deen muhamad na imam malcom x wa us, na makundi kama vile PAGAD (people against drugs and gangstarism) ..OIC inatambua kuwa ili kuwe na amani lazima kusiwe na maugomvi, kudhulumiana, na kunyanyasana..!kamanda..chambilecho ras innocent galinoma (ktk shairi lililo kwenye kazi yake ya "kilimanjaro")...if we know all kind of evil, then hw forgeting the truth..!...

go back to the NATURE, look deep you will understand the environment better.
 

"it comes as a surprise to many ugandans that our country is a member state of the organisation of islamic conference (oic). With christians making up 80% of the population and muslims accounting for only 12 %, it is indeed a surprise that uganda belongs to a muslim body. Delegates from the oic member states met in kampala from june 16 to june 20 to discuss issues affecting them. How uganda found herself in the same block with arab countries can be traced to one ambitious leader.

He had to find a way to strengthen his weakening political base. He did not look further than the muslim world, which was sympathetic to his political woes.
the year was 1974, and idi amin dada placed uganda in the fold of oic.

His hope was that in any eventuality of war, his brothers in faith would offer their support to ensure his stay in power. It never happened. Instead, when amin was overthrown in 1979 and saudi arabia did the next best thing — they offered him asylum.


he welcomed their offer and enjoyed saudi arabia’s hospitality up to the time of his death in 2003. But 29 years after amin’s overthrow, uganda is still a member of the oic. Many christian leaders are not amused by this, and have tried several times to cut uganda’s ties with the body."

the oic summit in dakar earlier this year decided onthe establishment of a $10b islamic solidarity fund. Uganda, as a member ofoic, will be a direct beneficiary of the fund.

** up to now uganda is still a member of oic; it is not a religious organization really, but a political one with hefty financial support
i think only 57 countries in the world are members of oic...




never be cowed or impressed by money.
 
Hii article imeandikwa na mkuda mmoja mwenye malengo yake binafsi! Hainiingii akilini Intelligensia ya KGB ya bwana Puttin isilijue hili mpaka ikubali nchi yake ya Russia kuwa miongoni mwa wanachama. Hivi nchi ngapi Africa zimejiunga na OIC hapa Afrika tena nchi ambazo waislamu ni asilimia ndogo sana kama Uganda na Mozambique na je wameathirika na uanachama wao wa OIC? Hebu acheni propaganda zisizo na kichwa wala miguu kwa mambo msiyoyajua:

Wewe mleta hoja kama kweli una uhakika na unachokisema hebu tuletee reliable source hata kama inatokea Vatican nitaikubali! Huna lolote na roho yako ya fitna.

Organisation of Islamic Cooperation - Wikipedia, the free encyclopedia

Member states of the Organisation of Islamic Cooperation - Wikipedia, the free encyclopedia

http://www.oic-oci.org/home.asp


Fuatilia hizo link ujue ukweli kuhusu OIC!

nadhani uwezo wako wa kufikiri unakaribia SIFURI,

usalama wa RUSSIA na KGB yake ni upi? Ikiwa jimbo la CHECHINIYA linapigania kujitenga ili kujitangaza kuwa ISLAMIC STATE?
Hao CHECHINIYA wanapigania nini basi ikiwa nchi yao RUSSIA ni mwanachama wa OIC?

INDIA unayoizungumzia sijui kama unaielewa' unawafahamu wapigani wa KIISLAM WA JIMBO LA KHASHMIRI wanaopigania kujitenga na INDIA?

Pole mkuu, naona HISTORIA imekutupa MKONO
 
Miongoni mwa nchi zenye mlengo mkali wa kutofungamana na upande wowote ni INDIA,Lakini INDIA ni mwanachama wa OIC!Kuhusu siasa za mashariki ya kati RUSSIA na Thailand wanamsimamo gani? mbona wao ni member wa OIC? Sasa sijui nikueleweje ndugu yangu?
Hebu njoo na hoja nyingine nikujibu!

naona hujui kinachoendelea ndani ya RUSSIA na INDIA
 
Serikali imewahi kutamka kuwa imefanya utafiti wa kina na kubaini kuwa hakuna madhara kwa tanzania kujiunga na oic kwa hiyo tuache uchadema na kejeli za kijinga humu ndani
Kimsingi mkuu huna sababu ya kushambullia hata wasiohusika kwenye maada kama chadema! Hii ndio inawafanya watu wawaone hamna hoja za msingi zaidi ya chuki zenu za udini mlizopandikiziwa na CUF! Swala lipo wazi mtoa maada ameonyesha malengo (objectives) ya IOC tena kizuri zaidi ametafsiri kwa lugha yetu ya kiswahili hivyo naamini kila mtu ameelewa. Malengo yote yanauhusiano wa mojakwa moja na KUUTETEA UISLAM NA KUHAKIKISHA USTAWI WA UISLAM DUNIANI! Haiihitajiki PhD KUELEWA HIZI OBJECTIVES! swali ni kwamba kuna watu sio waislam na hawakubaliani na hayo malengo ambayo kwa namna moja au nyingine yanapingana na IMANI ZAO PIA:Sasa inawezekana vipi nchi ijiunge kwenye jumuia ambayo ipo KUUKUZA UISLAM WAKATI SISI WENGINE NI BANIANI? Why OIC na sio jumuiya nyingine nyingi tu ambazo bado TZ haijajiunga? Why JUMUIA HII TU NDIO INAPIGIWA KELELE TENA NA WAISLAMU? The answer is simple, ni jumuia yaenye maslahi na waislamu ndio maana wanapigania ili nchi nzima ijiunge! Hivi mkuu kunahitajika uchunguzi wa serikali kujua malengo ya OIC? Siunajua kusoma, simply google na usome basi! Its IMPOSSIBLE FOR NON MUSLIM TO BE PART OF ISLAMIC STRATEGIES ! Most of times utasikia oooh mbona Kenya sijui na nchi gani zimejiunga! Hao ni kenya na sisi ni TZ! Sio kila lifanywalo kenya hata kama ni nonsense we are supposed also to do the same! Lets stick to the objectives of OIC! Are they really make sense for non-muslim community? If not why are you forcing other people to agree with you even if it doesnt make sense? MKIAMBIWA MNAMALENGO YA KUISILIMISHA TZ NA DUNIA KWA UJUMLA MNAKATAA; INGAWA HUO NI UKWELI KWA MUJIBU WA IMANI YENU ; LAKINI MATENDO YENU YANAPINGANA NA MANENO YENU NA HILI LINATHIBITISHA AGENDA YA UDINI MLIYONAYO! Why always you talk as MUSLIMS and not Tanzanians? Tunapojadili masuala ya nchi sisi ni watanzania lakini nyinyi wenzetu always mnataka tucheze MUZIKI WA DINI YENU even when it doesnt make sense!
 
Kuna nchi nyingi hapa duniani zimejiunga na oic na wala hakuna matatizo,kwanini watanzania mna chuki? Acheni oic iwanufaishe watanzania hasa wananchi maskini
Hizo nchi zilizo jiunga na OIC nyingi zao zilikuwa zinatwaliwa na madikteta au mashetani ya kikomunisti, Msumbiji ina wakatoliki 89% ya nchi nzima lakini utawala wa kinyama wa kikomunisti ulilazimisha kujiunga! Uganda iliingizwa na nduri Iddi amini . Hivyo usiseme nchi nyingi bali sema nchi zilizotawaliwa kidikteta.

Hata nchi ambazo zilikuwa ni marafiki wa wawapalestina zote zilitawaliwa kidecteta au kijaamaa au kikomunisti. Jiulize palestinian day aliileta nani tanzania , mbona haikupata baraka za bunge? na kwa nini baada ya kufa ujamaa nayo palestinianday ikatoweka? Umeisha sikia kiongozi wa palestina ankuja Tanzania na kutumia ardhi yetu kuwatukana wayahudi tena? Hakuna kabisaaaaa!

Ukweli ni kwamba Inataka sapport ya watu walio wengi duniani halafu iwe na nguvu za hoja za kuikomboa Yerusalem. Ndio maana mgogoro wa Israel na Palestina hauna mwisho wala hautatuliki kwa sababu ya kulazmisha mabo kisrisiri. kwa sababu waarabu wanaajenda ya kidini na Marekani na sisi wengine tuna ajenda ya kidiplomasia.
 
Na yule balozi wa Vatican anamuwakilisha nani? hapa nchini? acheni fitina zenu

SIM cjawah dharau member yoyote jf na apa nlikuwa napita tu kama guest nlikuwa sina mpango wa kuchangia kitu oote ila hii oja cjui hoja itabd nikwambie ww ni KILAZA,na pia najua utatoka povu kama kilaza mwenzako ponda na yule member wa wavotoloko gaid wa zenji.
 
CCM chini ya Chama chashika hatamu ilitulazinisha sana tena kinguvu kuwachukia wayahudi na kuwapenda wapalestina. Leo ukweli unajionesha nani mtawala wa haki wa Yerusalem. Mtoa maada umeelimisha sana Umma.
 
never be cowed or impressed by money.
I think there is serious problem the ways Africans are arguing in ISSUES! WHAT MAKES OIC AN ISLAMIC ORGANIZATION ARE ITS OBJECTIVES AND NOT WHAT YOU ARE TRYING TO PIRATE HERE IN JF ; SIMPLE LIKE THAT! You simply need to know how to read to understand that, it is for ISLAM WELL BEING full stop! Sometimes i am really surprised why people are trying to defend OIC, and even trying to convince us that it's not religious organization while its objectives are openly religious! Why dont you convince OIC to change its objectives first before convincing us? YOU NEED TO MAKE US BLIND FIRST TO AGREE WITH YOUR AGENDA!
 
Back
Top Bottom