Ofisi za Msajili wa NGOs

Manjagata

JF-Expert Member
Mar 7, 2012
11,670
12,050
Wakuu salama huko? Naomba kuelekezwa mahali zilipo ofisi za Msajili wa NGOs kwa hapa Dodoma. Kwa yeyote anayefahamu zilipo tafadhari naomba msaada huo haraka iwezekanavyo niko jijini hapa sasa hivi. Hata kama Dr. Gwajima atasoma ujumbe huu anielekeze! Asanteni sana.
 
Wakuu salama huko? Naomba kuelekezwa mahali zilipo ofisi za Msajili wa NGOs kwa hapa Dodoma. Kwa yeyote anayefahamu zilipo tafadhari naomba msaada huo haraka iwezekanavyo niko jijini hapa sasa hivi. Hata kama Dr. Gwajima atasoma ujumbe huu anielekeze! Asanteni sana.
Habari za asubuhi. Ziko Ofisi za Wizara ya Maendeleo ya Jamii zilizoko UDOM jengo moja na Ofisi za Wizara ya Afya ambapo, pia zimepakana na majengo ya Wizara ya Elimu, Wizara ya Kilimo na Wizara ya Maliasili.

Karibu sana kutumia huduma zetu. Ubarikiwe na Mungu wa Mbinguni.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Habari za asubuhi. Ziko Ofisi za Wizara ya Maendeleo ya Jamii zilizoko UDOM jengo moja na Ofisi za Wizara ya Afya ambapo, pia zimepakana na majengo ya Wizara ya Elimu, Wizara ya Kilimo na Wizara ya Maliasili.

Karibu sana kutumia huduma zetu. Ubarikiwe na Mungu wa Mbinguni.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Amina Mh. Waziri! Asante sana kwa maelekezo nilifanikiwa kufika na nikapata huduma kwa usahihi kabisa! Ubarikiwe pia Mh. Waziri kwa kazi nzuri!
 
Habari za asubuhi. Ziko Ofisi za Wizara ya Maendeleo ya Jamii zilizoko UDOM jengo moja na Ofisi za Wizara ya Afya ambapo, pia zimepakana na majengo ya Wizara ya Elimu, Wizara ya Kilimo na Wizara ya Maliasili.

Karibu sana kutumia huduma zetu. Ubarikiwe na Mungu wa Mbinguni.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
mhe: MUNGU wako akutunze unatuhudumia vizuri sana watanzania.
 
Habari za asubuhi. Ziko Ofisi za Wizara ya Maendeleo ya Jamii zilizoko UDOM jengo moja na Ofisi za Wizara ya Afya ambapo, pia zimepakana na majengo ya Wizara ya Elimu, Wizara ya Kilimo na Wizara ya Maliasili.

Karibu sana kutumia huduma zetu. Ubarikiwe na Mungu wa Mbinguni.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Aisee wewe mama nilikuonaga pale Jordan Morogoro uko sharp na consistent sana! Kiukweli sijawahi penda wala msifia yeyote toka CCM ila zipokee sifa zangu.
 
Aisee wewe mama nilikuonaga pale Jordan Morogoro uko sharp na consistent sana! Kiukweli sijawahi penda wala msifia yeyote toka CCM ila zipokee sifa zangu.
Mh. Waziri kwa kweli yuko vizuri sana!
 
Wakuu salama huko? Naomba kuelekezwa mahali zilipo ofisi za Msajili wa NGOs kwa hapa Dodoma. Kwa yeyote anayefahamu zilipo tafadhari naomba msaada huo haraka iwezekanavyo niko jijini hapa sasa hivi. Hata kama Dr. Gwajima atasoma ujumbe huu anielekeze! Asanteni sana.
Tulia utagongwa na guta, umepigwa nini? Kaa tafakari usipigwe tena.
 
Habari za asubuhi. Ziko Ofisi za Wizara ya Maendeleo ya Jamii zilizoko UDOM jengo moja na Ofisi za Wizara ya Afya ambapo, pia zimepakana na majengo ya Wizara ya Elimu, Wizara ya Kilimo na Wizara ya Maliasili.

Karibu sana kutumia huduma zetu. Ubarikiwe na Mungu wa Mbinguni.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Mh Waziri Mungu akubariki sana uko sharp sana unajua kutufikia kwa wakati na kutujibu asante sana
 
Back
Top Bottom