ayesigamwemezi
Member
- Aug 3, 2016
- 97
- 48
Ofisi ya Waziri Mkuu itatumia usafiri wa bajaji nabodaboda kuendesha shughuli zake kuanzia mwaka ujao wa fedha wa 2016/2017 ikiwa ni mkakati wa kubana matumizi wa Serikali ya Awamu ya Tano.
Kama umefurahishwa na swaga hizi za ofisi ya Waziri mkuu comment neno 'YES' na kama unaona wanazingua comment 'NO'
Chanzo : EATV
View attachment 341850