Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Hao ni vikaragosi tuu!. Wanakera na kwa kweli wanahitaji kupigwa mawe kama vibaka wanavyofanyiwa na wananchi wenye hasira kali. Poleni wanaNyamagana kwa hilo tukio, mkisema mumpeleke polisi haitasidia kitu, dawa ni ni kutumia nguvu ya umma kama mlivyofanya kumung'oa, basi tumieni nguvu hiyohiyo ya umma kumponda mawe...Ni mwizi huyo!