Habari wana jamii, mimi na vijana wenzangu tuna hamu kubwa ya kujiunga na chama cha CHADEMA hapa mkoani Tabora. Nia ni kuleta changamoto kwa vijana wa CCM na CCM kwa ujumla. Vile vile nia yetu ni kuimarisha chama katika ngazi za matawi yaliyopo hapa Tabora. Lakini tatizo liliopo ni wapi zilipo ofisi kuu za chama hapa mkoani Tabora?