I ikigori Member Apr 10, 2012 26 0 May 20, 2012 #1 Tunatafuta mhudumu wa ofisi awe binti,elimu kidato cha nne 0783 215 450
I ikigori Member Apr 10, 2012 26 0 May 20, 2012 Thread starter #2 Tunatafuta mhudumu wa ofisi awe binti amemaliza kidato cha nne,call 0783 215 450
Tugutuke JF-Expert Member Apr 21, 2011 501 165 May 20, 2012 #3 ikigori said: Tunatafuta mhudumu wa ofisi awe binti amemaliza kidato cha nne,call 0783 215 450 Click to expand... nilifikiri wa kiume. Ningeomba mimi hyo kazi aisee!
ikigori said: Tunatafuta mhudumu wa ofisi awe binti amemaliza kidato cha nne,call 0783 215 450 Click to expand... nilifikiri wa kiume. Ningeomba mimi hyo kazi aisee!
gfsonwin JF-Expert Member Apr 12, 2012 18,274 20,673 May 20, 2012 #4 ikigori said: Tunatafuta mhudumu wa ofisi awe binti amemaliza kidato cha nne,call 0783 215 450 Click to expand... sasa labda ungeseam na umri na vigezo vingine manake wengine kupiga pasi kuwa na uhakika wa kumeet minimum requirement zako ni ishu.
ikigori said: Tunatafuta mhudumu wa ofisi awe binti amemaliza kidato cha nne,call 0783 215 450 Click to expand... sasa labda ungeseam na umri na vigezo vingine manake wengine kupiga pasi kuwa na uhakika wa kumeet minimum requirement zako ni ishu.
SIMBA WA TARANGA JF-Expert Member Feb 14, 2012 987 220 May 20, 2012 #5 Duuh, hapo naona mtazaomo wa mazigira hatarishi, ni office gani hiyo na ni wapi?
Mshuza2 JF-Expert Member Dec 27, 2010 11,015 16,447 May 20, 2012 #8 Ungeiforward na kulee kwenye jukwaa husika!
jino kwa jino JF-Expert Member Nov 3, 2010 783 169 May 21, 2012 #10 huyu anatafuta mabint waliomaliza form four za kata atakuwa na sehemu ya kutolea viburudisho. mabint kuweni makini na mtu huyu.
huyu anatafuta mabint waliomaliza form four za kata atakuwa na sehemu ya kutolea viburudisho. mabint kuweni makini na mtu huyu.