kui
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 6,467
- 6,494
alshabaab will be looking to emberace Kenya. hata kama hawatafika Nairobi, they will want to make a scene to create fear. kwahivo wakenya tuwe makini, mi ntakua nimeketi na gongo langu nje ya nyumba kila asubuhi na jioni kuanzia sasa, nikiona mtu simjui na anakaa mgeni, lazma aonyeshe kitambulisho au sivyo na mwitia squad ya mtaa. mtu akihamia karibu na kwetu lazma ni mchunguze anafanya kazi wapi, na ametoka wapi
hehehe!, ati utaketi nje na gongo.....lol!
Ni kweli kabisa Alshabaab might want to make a scene and draw even more attention to themselves na vile watakuwa wamesogezewa karibu na ukizingatia 'President of USA' will be there hence the media from all over the world will be there. These jingas might want to "perform"