Obama kuzuru africa

Status
Not open for further replies.

kimatire

JF-Expert Member
Nov 27, 2008
371
93
Rais wa Marekani Barack Obama anatarajiwa kuzuru Afrika kuanzia tar.23 Aprili Ikulu ya Marekani imeeleza.Ziara yake itaanzia nchini Kenya ambako alizaliwa baba yake Hussein Obama na mahali inaposadikika alianzia kampeni yake ya Urais,Ziara hiyo itakayomchukua katiika nchi tano za Kiafrika anatarajiwa kutembelea UgandaRwanda,Swazland na Afrika Ya Kusini.Ratiba kamili itatolewa na Wizara ya Nje ya Marekani na kupatikana katika balozi zake kote duniani.
 
(Kama siyo April the 1st thing ...) Ila Kenya atatembelea tu .. baada ya kuwa dumped na Clinton + Bush administrations. Sisi tulijisahau tukawekeza mno kwa Bush
 
Last edited:
Rais wa Marekani Barack Obama anatarajiwa kuzuru Afrika kuanzia tar.23 Aprili Ikulu ya Marekani imeeleza.Ziara yake itaanzia nchini Kenya ambako alizaliwa baba yake Hussein Obama na mahali inaposadikika alianzia kampeni yake ya Urais,Ziara hiyo itakayomchukua katiika nchi tano za Kiafrika anatarajiwa kutembelea UgandaRwanda,Swazland na Afrika Ya Kusini.Ratiba kamili itatolewa na Wizara ya Nje ya Marekani na kupatikana katika balozi zake kote duniani.


Ikulu ya Marekani imewasiliana na wewe personally? To me, this is a fabricated piece until when you provide a reliable source.
 
Rais wa Marekani Barack Obama anatarajiwa kuzuru Afrika kuanzia tar.23 Aprili Ikulu ya Marekani imeeleza.Ziara yake itaanzia nchini Kenya ambako alizaliwa baba yake Hussein Obama na mahali inaposadikika alianzia kampeni yake ya Urais,Ziara hiyo itakayomchukua katiika nchi tano za Kiafrika anatarajiwa kutembelea UgandaRwanda,Swazland na Afrika Ya Kusini.Ratiba kamili itatolewa na Wizara ya Nje ya Marekani na kupatikana katika balozi zake kote duniani.

April fool, go to school, tell your teacher bloody fool!
 
haya mambo ya 1st of April mimi yananitatiza sana,what if mtu akiamini na akafanya jambo based kwenye huu urongo,je unaweza ku sue? hasa kama ili base kwenye news ya media?
 
Rais wa Marekani Barack Obama anatarajiwa kuzuru Afrika kuanzia tar.23 Aprili Ikulu ya Marekani imeeleza.Ziara yake itaanzia nchini Kenya ambako alizaliwa baba yake Hussein Obama na mahali inaposadikika alianzia kampeni yake ya Urais,Ziara hiyo itakayomchukua katiika nchi tano za Kiafrika anatarajiwa kutembelea UgandaRwanda,Swazland na Afrika Ya Kusini.Ratiba kamili itatolewa na Wizara ya Nje ya Marekani na kupatikana katika balozi zake kote duniani.

Ndugu yangu, kama hujui......fools day inatakiwa ifuate masherti kama yafuatayo;

1. Siku hii huanza saa sita usiku hadi saa nne asubuhi (lasting for approximately 10 hours)

2. Ukitoa habari au issue yoyote inayohusu hii siku lazima mwishoni au sehemu yoyote uonyeshe au utafute means fulani ya kuwatahadharisha wale wanaopokea ujumbe or taarifa hiyo kuwa inaendana na FOOLS DAY ili kuepusha madhara yatokanayo na watu kufanyia kazi habari au ujumbe huo!

Sasa habari hii, kwanza imetundikwa hapa saa kumi na dakika ishirini na tisa, pia hakuna caution yoyote kuwa leo ni siku ya fools.....!

So imekosa sifa za kuendana na siku ya wajinga, hivyo mleta mada ni mwongo au mzushi labda atoe uthibitisho kuwa habari hii ni ya kweli!
 
Next level, bora umekumbusha haya masharti. Maana watu wanajisahau ..
Ndugu yangu, kama hujui......fools day inatakiwa ifuate masherti kama yafuatayo;

1. Siku hii huanza saa sita usiku hadi saa nne asubuhi (lasting for approximately 10 hours)

2. Ukitoa habari au issue yoyote inayohusu hii siku lazima mwishoni au sehemu yoyote uonyeshe au utafute means fulani ya kuwatahadharisha wale wanaopokea ujumbe or taarifa hiyo kuwa inaendana na FOOLS DAY ili kuepusha madhara yatokanayo na watu kufanyia kazi habari au ujumbe huo!

Sasa habari hii, kwanza imetundikwa hapa saa kumi na dakika ishirini na tisa, pia hakuna caution yoyote kuwa leo ni siku ya fools.....!

So imekosa sifa za kuendana na siku ya wajinga, hivyo mleta mada ni mwongo au mzushi labda atoe uthibitisho kuwa habari hii ni ya kweli!
 
Last edited:
Rais wa Marekani Barack Obama anatarajiwa kuzuru Afrika kuanzia tar.23 Aprili Ikulu ya Marekani imeeleza.Ziara yake itaanzia nchini Kenya ambako alizaliwa baba yake Hussein Obama na mahali inaposadikika alianzia kampeni yake ya Urais,Ziara hiyo itakayomchukua katiika nchi tano za Kiafrika anatarajiwa kutembelea UgandaRwanda,Swazland na Afrika Ya Kusini.Ratiba kamili itatolewa na Wizara ya Nje ya Marekani na kupatikana katika balozi zake kote duniani.

Source;Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani-Read Press Release-American Embassy.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom