NYENJENKURU
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 1,063
- 288
Naona mkulu alimtonya asinyoshe wa kushoto ili auze sura..lolool teh tehhhAngeinua wa kushoto ingekuwa bomba sana
Naona mkulu alimtonya asinyoshe wa kushoto ili auze sura..lolool teh tehhhAngeinua wa kushoto ingekuwa bomba sana
sio kwamba imechakachuliwa hiyo?
Naona mzee wetu wa kaya katoka chicha, big up sana mzee wetu kwa kutuwakilisha vyema!!!!
Itakuwa mchina.halafu mkono wa obama umefanyiwa phone editing siyo wa uhalisia
Umeona eeee!! Kweli aisee, alaf iweje anyooshe yeye peke yake tu?? ****** kwa kuiga vya kidhungu lazima na yeye angenyoosha kama angemuona Obama kanyoosha.
ha ha ha ha kwa kujichomeka ZUMBUKUKU nomaa
baba wa mwenzio ni baba yako matusi ya nini? ....... ? au ndiyo miafrica mlivyo?
Naona baba rizim kajiweka pembeni anauza thura...!
mbona ktk mobile hakuna picha?
Mbona kama anamshangaa BO, chek macho