Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Mi hua siingii gest za 5000, nikuanzia 15,000 kwenda juu hiyo itakuwa uswazi kinoma na haina ac halafu feni linalia pa pa pa pa pa pa pakapapa pa pa. Kitanda kinalia kwechukwechukwechukwechu. Pua lazima uibane kidogo upumulie juu juu maana harufu. Halafu kwenye dust been lazima ukute kuna ndom zilizotumika.
Mkuu sure! hata mimi huwa siendi guest za 5,000. maana unaweza ukaondoka nammagonjwa na kujitibu ika cost 50,000/=
Yah unaenda sehemu unaketi kwenye kochi soafa safiiiii, kiyoyozi full kipupwe, unaagiza vyakula na vinywaji ndani kwa simu tu. Mkimaliza majamboz mnaoga swaaaafiiiii. Mnaagana, ukitaka siku nyingi unapiga simu tu kwa reservation kisha unamwambia mtoto atangule ukifika unakuta mtoto katulia anasubiri mle raha. Ila ukimwi nouma. ukimwi unaua
Wakuu msisahau kwamba tumetofautiana uwezo, kwa mwingine hiyo buku tano yenyewe kajikamua vibaya mno.
Hata hao wanaokaa unga ltd, manzese na kwingineko tunakoita uswahilini, sio kwamba wote wamependa isipokuwa hali halisi ndio imewalazimisha.
Lakini pamoja na yote ukweli ni kwamba wao wana enjoy na hawaoni shida, sijui mambo ya kunguni sijui kitanda kupiga kelele ndo starehe yenyewe!!