Obama atokwa machozi hadharani

Acha kuwa mnafiki hapo Tanzania kuna wengi wanafanya mambo mengi kinyume na ukristo wapo wachungaji wengi tu wanatumia makanisa yao kujineemesha kimaisha na kuwaacha waaumini wao masikini ungeanza nao hao kabla ya kumjadili Obama; kumbuka Obama halitimikii kanisa anawatumikia wamerekani anachofuata ni katiba yao na sio Biblia.

Chama
Gongo la mboto DSM

Hivi siku moja Obama akitetea madawa ya kulevya utamuunga mkono ??
Mambo haya yanaaza kidogo-kidogo ......
Walianza na utoaji mimba, sasa wamekuja na ushoga !!! Who knows what is next ?? Drugs (cocaine, heroine, etc) ???
Kiongozi wa nchi lazima awe wa kwanza kukemea uovu.
Kiongozi akikumbatia ouvu, nchi yote itapotea.
Angalia Tanzania, viongozi wanakumbatia ufisadi, unaona matokeo yake ??
Sasa imagine viongozi Tanzania wakikumbatia ushoga itakuwaje ???
Obama kapotoka.
Kapotoka kwa makusidi kabisa ili tu apate urais mwaka 2012.
Nasema kapotoka kwa sababu hakuwa hivi alivyo mwaka 2008 !!
Mwaka 2008 Obama alikua saaafi kabisa, mbali ma ushoga, mbali kabisa na utoaji mimba !!!!
 
Hivi siku moja Obama akitetea madawa ya kulevya utamuunga mkono ??
Mambo haya yanaaza kidogo-kidogo ......
Walianza na utoaji mimba, sasa wamekuja na ushoga !!! Who knows what is next ?? Drugs (cocaine, heroine, etc) ???
Kiongozi wa nchi lazima awe wa kwanza kukemea uovu.
Kiongozi akikumbatia ouvu, nchi yote itapotea.
Angalia Tanzania, viongozi wanakumbatia ufisadi, unaona matokeo yake ??
Sasa imagine viongozi Tanzania wakikumbatia ushoga itakuwaje ???
Obama kapotoka.
Kapotoka kwa makusidi kabisa ili tu apate urais mwaka 2012.
Nasema kapotoka kwa sababu hakuwa hivi alivyo mwaka 2008 !!
Mwaka 2008 Obama alikua saaafi kabisa, mbali ma ushoga, mbali kabisa na utoaji mimba !!!!

Unafurahisha sana kwenye uchaguzi wa juzi Washington state wananchi wake wameruhusu matumizi ya kuvuta bangi; Maryland wameruhusu wananchi wa jinsia moja kuoana hizo ndio siasa za kimarekani ni wengi wape!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Obama hajakubalika na wengi.
Kura zilizopigwa, Obama kapata 51% dhidi ya Romney 49%.
Tofauti ndogo sana ambayo haijawahi kutokea katika historia ya marekani !! Upo hapo ??
Tofauti ni ndogo saaana.
Hii yote ni baada ya Obama kutetea ushoga, kutetea utoaji mimba na kutetea uhamiaji haramu !!
Vigezo hivyo ndio vimempa Obama ushindi mwembamba sana.
Asingefanya hivyo angeshindwa sana.
Angalia,
Obama kapata 73% ya kura za 'Latino' (watu wenge asili ya kutoka Mexico). Hawa ndio wengi wao ni wahamiaji haramu, au ndugu zao na jamaa zao ni wahamiaji haramu !!!
Upo hapo ??
Kwa hiyo 'technically' Obama katumia 'mbinu' za " ... fanya lolote, bora upate ushindi ... "

Unafuatilia nyuzi zako kupitia Fox News? Ushindi wa Obama ni mkubwa kuliko hata alivyoshinda Bill Clinton hakuna raisi kutoka chama Democrat aliyeshinda kwa kishindo kama yeye tangu alivyoshinda Franklin D. Roosevelt; kwa kumalizia nakuuliza upo nchi gani? kama ungekuwa hapa US ungeyajua yote hayo ila kama upo Mbagala huwezi kuyajua; ila huo ndio ukweli wenyewe!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Unafurahisha sana kwenye uchaguzi wa juzi Washington state wananchi wake wameruhusu matumizi ya kuvuta bangi; Maryland wameruhusu wananchi wa jinsia moja kuoana hizo ndio siasa za kimarekani ni wengi wape!

Chama
Gongo la mboto DSM

Huko ndio kupotoka kwenyewe.
Anatakiwa rais atakaye kemea hayo yote.

Wakisema ugaidi ruksa itakuwaje ??
Wakisema infidelity ruksa (yaani Obama atoke na mke wa mtu, Clinton ruksa kutoka na Monica, etc.) itakuwaje ??
Inatakiwa strong leadership, ndio utapata strong nation !!

Come on Obama, you are better than this !!
Come on Obama, go back to the 2008 glory (far away from gay marriages and abortion) !!
 
Huko ndio kupotoka kwenyewe.
Anatakiwa rais atakaye kemea hayo yote.

Wakisema ugaidi ruksa itakuwaje ??
Wakisema infidelity ruksa (yaani Obama atoke na mke wa mtu, Clinton ruksa kutoka na Monica, etc.) itakuwaje ??
Inatakiwa strong leadership, ndio utapata strong nation !!

Come on Obama, you are better than this !!
Come on Obama, go back to the 2008 glory (far away from gay marriages and abortion) !!

Mkuu siasa za kimarekani wengi wape bangi na ushoga ni siasa za kwenye majimbo yeye hazimhusu; Washington state kura za watu waliotaka bangi ihalalishwe zilikuwa nyingi kuliko walizompa Obama; kama ni ushoga mbona mapadri wengi watumishi wa Mungu wamejiingiza kwenye kuukubali ushoga ungeanza na hao; Obama ni muumini wa kawaida tu!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
...wewe ndo bado kabisa na sio Wtz, fatilia ujue issue ya kulia kwa pinda ilisababishwa na nini??

....acha uongo wewe pinda alilia kwa sababu ya mauaji ya albino na si kujieleza mbele ya bunge kama unvyosema,watz bwana bado sana
 
Unafuatilia nyuzi zako kupitia Fox News? Ushindi wa Obama ni mkubwa kuliko hata alivyoshinda Bill Clinton hakuna raisi kutoka chama Democrat aliyeshinda kwa kishindo kama yeye tangu alivyoshinda Franklin D. Roosevelt; kwa kumalizia nakuuliza upo nchi gani? kama ungekuwa hapa US ungeyajua yote hayo ila kama upo Mbagala huwezi kuyajua; ila huo ndio ukweli wenyewe!

Chama
Gongo la mboto DSM

We acha hizo habari wewe !!
Hata kama uko Marekani kwenyewe, ukweli ni huu hapa .....
Swali:-
Kati ya mwaka 2008 na mwaka 2012, ni mwaka gani Obama alishinda ushindi mkubwa zaidi ??

Angalia takwimu hapa chini...
  • Mwaka 2008 Obama alishinda kwa 52.9%, mwaka 2012 kashinda kwa 50.6%.
  • Electoral votes, Mwaka 2008 Obama alipata kura 365, mwaka 2012 katapa 303 tu !!
Ameshuka sana hata baada ya kuunga mkono 'maovu' ya ushoga na utoaji mimba ili apate kura !!!

Hapo vipi ???
Bado uko Marekani au umerudi Gongo la Mboto !!!!

==============================================================


2004 ←
November 4, 2008
→ 2012

All 538 electoral votes of the Electoral College
270 electoral votes needed to win
Turnout61.6% (voting eligible)[SUP][1][/SUP]
NomineeBarack ObamaJohn McCain
PartyDemocraticRepublican
Home stateIllinoisArizona
Running mateJoe BidenSarah Palin
Electoral vote365173
States carried28 + DC + NE-0222
Popular vote69,456,897[SUP][2][/SUP]59,934,814[SUP][2][/SUP]
Percentage
52.9%[SUP][2][/SUP]45.7%[SUP][2][/SUP]

United States presidential election, 2008

=============================================================




2008 ←
November 6, 2012
→ 2016

538 electoral votes of the Electoral College
270 electoral votes needed to win
Turnout57.5–60% (Est.)[SUP][1][/SUP]
NomineeBarack ObamaMitt Romney
PartyDemocraticRepublican
Home stateIllinoisMassachusetts
Running mateJoe BidenPaul Ryan
Electoral vote303206
States carried26 + DC24
Popular vote61,680,412[SUP][2][/SUP]58,487,232[SUP][2][/SUP]
Percentage50.6%[SUP][2][/SUP]47.9%[SUP][2][/SUP]

United States presidential election, 2012
========================================================
 
hivi pinda akilia sura yake inakuaje?? Mwenye hiyo picha ya hilo tukio, naomba aniwekee nikamilishe siku yangu ya leo! Kwi kwi kwi, au wasira akilia hivi huwa wanafananaje??? Kwi kwi kwi kwi! Nimepita tu hapa!


That is wrong perception,
His attitude, thoughts and action have more value than his appearance, Iam sure he believe in making a Legacy and not worrying about how he look like.loh
 
Ulimuona Obama alipokua anaapa mwaka 2008 ??
Aliapishwa Kikristo ??
Kama aliapishwa Kikristo, halafu anaupinga Ukristo na kuukumbatia ushoga ??
Itabidi safari hii aapishwe 'kishoga' !!??

Kwa mwendo anaoendanao Obama, itafika wakati atahalalisha madawa ya kulevya, ili apate kura !!
Maana alihalalisha uhamiaji haramu, na wahamiaji haramu wakampigia kura sana !! Akashinda !!

wewe ni Mkamba nini? Kwani Obama atagombea tena?
 
wewe ni Mkamba nini? Kwani Obama atagombea tena?

Hapa ni swala la kuhalalisha tu.
Kama ameweza kuhalalisha ushoga na uhamiaji haramu, anaweza kuhalalisha kugombea tena urais !!
Anaweza kufanya hivyo maana kinachotokea hapo ni kutafuta uungwaji mkono na watu wengi, na katika hili Obama ni kinara, maana anaweza kufanya lolote ili apate uungwaji mkono huo !!
 
Hapa ni swala la kuhalalisha tu.
Kama ameweza kuhalalisha ushoga na uhamiaji haramu, anaweza kuhalalisha kugombea tena urais !!
Anaweza kufanya hivyo maana kinachotokea hapo ni kutafuta uungwaji mkono na watu wengi, na katika hili Obama ni kinara, maana anaweza kufanya lolote ili apate uungwaji mkono huo !!
sawa, wewe ni mkamba?
 
We acha hizo habari wewe !!
Hata kama uko Marekani kwenyewe, ukweli ni huu hapa .....
Swali:-
Kati ya mwaka 2008 na mwaka 2012, ni mwaka gani Obama alishinda ushindi mkubwa zaidi ??

Angalia takwimu hapa chini...
  • Mwaka 2008 Obama alishinda kwa 52.9%, mwaka 2012 kashinda kwa 50.6%.
  • Electoral votes, Mwaka 2008 Obama alipata kura 365, mwaka 2012 katapa 303 tu !!
Ameshuka sana hata baada ya kuunga mkono 'maovu' ya ushoga na utoaji mimba ili apate kura !!!

Hapo vipi ???
Bado uko Marekani au umerudi Gongo la Mboto !!!!

==============================================================



2004 ←
November 4, 2008
→ 2012

All 538 electoral votes of the Electoral College
270 electoral votes needed to win
Turnout
61.6% (voting eligible)[SUP][1][/SUP]


Nominee
Barack Obama
John McCain
Party
Democratic
Republican
Home state
Illinois
Arizona
Running mate
Joe Biden
Sarah Palin
Electoral vote
365
173
States carried
28 + DC + NE-02
22
Popular vote
69,456,897[SUP][2][/SUP]
59,934,814[SUP][2][/SUP]
Percentage
52.9%[SUP][2][/SUP]
45.7%[SUP][2][/SUP]

=============================================================





2008 ←
November 6, 2012
→ 2016

538 electoral votes of the Electoral College
270 electoral votes needed to win
Turnout
57.5–60% (Est.)[SUP][1][/SUP]


Nominee
Barack Obama
Mitt Romney
Party
Democratic
Republican
Home state
Illinois
Massachusetts
Running mate
Joe Biden
Paul Ryan
Electoral vote
303
206
States carried
26 + DC
24
Popular vote
61,680,412[SUP][2][/SUP]
58,487,232[SUP][2][/SUP]
Percentage
50.6%[SUP][2][/SUP]
47.9%[SUP][2][/SUP]
========================================================

update matokeo ya FLORIDA please
 
We acha hizo habari wewe !!Hata kama uko Marekani kwenyewe, ukweli ni huu hapa .....Swali:-Kati ya mwaka 2008 na mwaka 2012, ni mwaka gani Obama alishinda ushindi mkubwa zaidi ??Angalia takwimu hapa chini...
  • Mwaka 2008 Obama alishinda kwa 52.9%, mwaka 2012 kashinda kwa 50.6%.
  • Electoral votes, Mwaka 2008 Obama alipata kura 365, mwaka 2012 katapa 303 tu !!
Ameshuka sana hata baada ya kuunga mkono 'maovu' ya ushoga na utoaji mimba ili apate kura !!!Hapo vipi ???Bado uko Marekani au umerudi Gongo la Mboto !!!!==============================================================

2004 ←November 4, 2008→ 2012

All 538 electoral votes of the Electoral College270 electoral votes needed to win
Turnout61.6% (voting eligible)[SUP][1][/SUP]
NomineeBarack ObamaJohn McCain
PartyDemocraticRepublican
Home stateIllinoisArizona
Running mateJoe BidenSarah Palin
Electoral vote365173
States carried28 + DC + NE-0222
Popular vote69,456,897[SUP][2][/SUP]59,934,814[SUP][2][/SUP]
Percentage52.9%[SUP][2][/SUP]45.7%[SUP][2][/SUP]
=============================================================

2008 ←November 6, 2012→ 2016

538 electoral votes of the Electoral College270 electoral votes needed to win
Turnout57.5–60% (Est.)[SUP][1][/SUP]
NomineeBarack ObamaMitt Romney
PartyDemocraticRepublican
Home stateIllinoisMassachusetts
Running mateJoe BidenPaul Ryan
Electoral vote303206
States carried26 + DC24
Popular vote61,680,412[SUP][2][/SUP]58,487,232[SUP][2][/SUP]
Percentage50.6%[SUP][2][/SUP]47.9%[SUP][2][/SUP]
========================================================
update matokeo ya FLORIDA please
 
Back
Top Bottom