Nzega: Risasi zatumika kumuokoa Mbunge Kigwangalla

Watu Kama huyu Mbunge hatuna imani nae,hivi tukihisi kuwa ameshapewa chochote na mabwana wakubwa tutakuwa tunakosea kweli!?
 
Wana jf naendelea kupata taarifa hapa hoteli niliyofikia inayoitwa Nzega Motel,Ni kwamba wanaanchi walikasirika baada ya kuona mbunge wao ameenda faragha na muwekezaji wa huo mgodi mdogo.

Baada ya kuona hivo walianza kurusha mawe na jiwe kumpata Muwekezaji kichwani ambae sasa amelazwa hospitali ya wilaya,na mbunge nae akapigwa jiwe na gari kuvunjwa Kioo,Baada ya mawe kurushwa na pande mbili upande wa wanaanchi na upande wa Muwekezaji,Polisi walifika na kukamata watu na mbunge kutoroka eneo lile na akaaenda nzega mjini kukusanya watu ili wavamie kituo tena ili aonekane kuwa anawasaidia watu hili likwaudhi vijana ambao walikua
wamekusanyika eneo karibu na polisi na ofisi za CCM wilaya ambao waliamua kumfata mbunge na kumtaka atangulie kuongoza maandamano ya kuwatoa wenzao waliokamatwa hapo wakaampiga polisi wakawahi na kumkamata na yeye na vijana zaidi ya ishirini wote sasa wapo polisi baada ya kumpeleka kupata huduma ya kwanza hospitali hivi sasa yupo ndani.

Tawapa taarifa zaidi.
 
Ndugu zangu wanaJF,

Tusiichezee nguvu ya wananchi hata siku moja, kwa usalama wa Taifa letu. Toka juzi nimekuwa nikifanya jitihada mbalimbali za kutuliza munkari ya wananchi wa kijiji cha Mwabangu. Watu wakichoka ni hatari sana.

Mimi sijawaangukia Resolute na wala siwezi kuwaangukia hata siku moja. Wananzega wanachotaka ni maendeleo na haki yao ya kulipwa fidia kwa mali yao iliyohodhiwa na ama kuvunjwa miaka 15 iliyopita, wananzega hawataki mbunge mwehu anayeambiwa sasa tutawajengeeni shule kadhaa, maabara kadhaa, tutawawekeeni lami, tutawalipeni fidia zenu n.k na mbunge huyo akakataa akang'ang'ania maandamano tu! Tulichokifanya sisi ni kukubali kwenda mezani na kuanza mazungumzo na mpaka sasa tupo katika hatua mbalimbali, tukishindana tutaingia Barabarani mpaka mgodini. Nyie subirini tu na mtaona

Asante mkuu kwa kuleta hii habari. Nakumbuka kuisoma hapa hapa JF siku chache zilizopita toka kwa Mheshimiwa mwenyewe Kingwangalla. Nzega wameuziwa mbuzi kwenye gunia.

Poleni!
 
Ndugu zangu wanaJF,

Tusiichezee nguvu ya wananchi hata siku moja, kwa usalama wa Taifa letu. Toka juzi nimekuwa nikifanya jitihada mbalimbali za kutuliza munkari ya wananchi wa kijiji cha Mwabangu. Watu wakichoka ni hatari sana.

Mimi sijawaangukia Resolute na wala siwezi kuwaangukia hata siku moja. Wananzega wanachotaka ni maendeleo na haki yao ya kulipwa fidia kwa mali yao iliyohodhiwa na ama kuvunjwa miaka 15 iliyopita, wananzega hawataki mbunge mwehu anayeambiwa sasa tutawajengeeni shule kadhaa, maabara kadhaa, tutawawekeeni lami, tutawalipeni fidia zenu n.k na mbunge huyo akakataa akang'ang'ania maandamano tu! Tulichokifanya sisi ni kukubali kwenda mezani na kuanza mazungumzo na mpaka sasa tupo katika hatua mbalimbali, tukishindana tutaingia Barabarani mpaka mgodini. Nyie subirini tu na mtaona!

Hakuna chama eti huwa kina nguvu ya umma, hii huja automatically kwa maamuzi ya wananchi panapokuwa na kero sugu na isiyopatiwa ufumbuzi na mfumo uliopo!

Wananchi hawakuandamana bali waliufunga mgodi tu

Huyu hapa mbunge aliyawaacha solomba wananchi wake
 
Atakuwa ameshapozwa huyo. Makelele yote yale kumbe alikuwa anatafuta sababu ya kuongeza uzito wa akaunti yake ya benki. Ama kweli kila mbuzi hula kulingana na urefu wa kamba yake. Ndiyo maana hata mimi siachi kula rushwa.
 
Baada ya mawe kurushwa na pande mbili upande wa wanaanchi na upande wa Muwekezaji,

Mwekezaji na yeye ana watu wake wanaorusha mawe, ni wananchi au amekuja na vibaraka wake

wamekusanyika eneo karibu na polisi na ofisi za CCM wilaya ambao waliamua kumfata mbunge na kumtaka atangulie kuongoza maandamano ya kuwatoa wenzao waliokamatwa hapo wakaampiga polisi wakawahi na kumkamata na yeye na vijana zaidi ya ishirini wote sasa wapo polisi baada ya kumpeleka kupata huduma ya kwanza hospitali hivi sasa yupo ndani.

Kwahiyo na mbunge na yeye ameshikwa..? na hio huduma ya kwanza aliyopata ni ya kupigwa jiwe la mwanzo au mara ya pili wakati walivyoshikwa na polisi.
 
Atakuwa ameshapozwa huyo. Makelele yote yale kumbe alikuwa anatafuta sababu ya kuongeza uzito wa akaunti yake ya benki. Ama kweli kila mbuzi hula kulingana na urefu wa kamba yake. Ndiyo maana hata mimi siachi kula rushwa.

nani asiyojua kuwa wewe ni fisadi?
 
Mvua Gamba Leteni updates, mbona mpo kimya au mmeshatulizwa na vikaragosi vya Mafisadi wenye kutumia Risasi za fire?
 
Hao wananchi wamekosea kujichukulia sheria mkononi. Wanataka kumpiga Mbunge wao!.
 
Taarifa mpya CCM mkoa wanajaribu kumuokoa ili asipelekwe mahakamani kesho, Jeshi la Polisi linataka wampeleke Mahakamani.

Hapa Nzega nilipofikia kuna kijiwe kinaitwa Meza ya Duara wanadai mgogoro huo umekua mkubwa kwakua Serekali ilitaka kuwalipa Fidia watu ambao walikua na Haki watu hao walikua 17,baada ya Mbunge kuingia madarakani aliongeza list ya watu na kudai kuwa wanaotakiwa kulipwa ni watu 450, na hapa inasemekana ameweka majina hewa na hapa uongozi wa wilaya ukaona kuna kitu anataka kupata ukaanza mvutano na katika kuhakiki ikajulikana kuna majina hewa na kuna ndugu zake ambao si wachimbaji na fidia ikitoka kwa list hiyo maana yake na yeye atakua amepata mshiko hili nalo limechangia mgogoro huo unaoendela. Sasa, inasemekana kesho atapandishwa kizimbani na yeye.
 
....wananchi wanaendelea kupata ujasiri kuna siku watakomboa tu rasilimali zao, imagine wanavyoteseka Mbarali na kwingineko huku wawekezaji wakigeuka ndio wenye nchi.......nasema hv, hata Mobutu, Gaddafi, Saddam etc walijilimbikizia mali na kutapanya Ulaya na kwingineko, matokeo yake walikufa bila hata kuona makastri waliojenga nje na mali zao zingine(Mobutu)
 
Hao wananchi wamekosea kujichukulia sheria mkononi. Wanataka kumpiga Mbunge wao!.

Mkuu kuna mambo saa ingine yanakera hadi kupitiliza unakuta mtu ushachukuliwa juu juu na emotions umepiga mtu! kama kweli Kigwangalah kafanya hivo bora wangemtoboa macho kabisa!
 
Taarifa mpya CCM mkoa wanajaribu kumuokoa ili asipelekwe mahakamani kesho, Jeshi la Polisi linataka wampeleke Mahakamani.

Hapa Nzega nilipofikia kuna kijiwe kinaitwa Meza ya Duara wanadai mgogoro huo umekua mkubwa kwakua Serekali ilitaka kuwalipa Fidia watu ambao walikua na Haki watu hao walikua 17,baada ya Mbunge kuingia madarakani aliongeza list ya watu na kudai kuwa wanaotakiwa kulipwa ni watu 450, na hapa inasemekana ameweka majina hewa na hapa uongozi wa wilaya ukaona kuna kitu anataka kupata ukaanza mvutano na katika kuhakiki ikajulikana kuna majina hewa na kuna ndugu zake ambao si wachimbaji na fidia ikitoka kwa list hiyo maana yake na yeye atakua amepata mshiko hili nalo limechangia mgogoro huo unaoendela. Sasa, inasemekana kesho atapandishwa kizimbani na yeye.

​Daa, mbunge kabisa anafanya mipango ya wizi namna hiyo?! Lakini si ajabu sana maana ccm kwa wizi/rushwa ndo wenyewe.
 
Taarifa mpya CCM mkoa wanajaribu kumuokoa ili asipelekwe mahakamani kesho, Jeshi la Polisi linataka wampeleke Mahakamani.

Hapa Nzega nilipofikia kuna kijiwe kinaitwa Meza ya Duara wanadai mgogoro huo umekua mkubwa kwakua Serekali ilitaka kuwalipa Fidia watu ambao walikua na Haki watu hao walikua 17,baada ya Mbunge kuingia madarakani aliongeza list ya watu na kudai kuwa wanaotakiwa kulipwa ni watu 450, na hapa inasemekana ameweka majina hewa na hapa uongozi wa wilaya ukaona kuna kitu anataka kupata ukaanza mvutano na katika kuhakiki ikajulikana kuna majina hewa na kuna ndugu zake ambao si wachimbaji na fidia ikitoka kwa list hiyo maana yake na yeye atakua amepata mshiko hili nalo limechangia mgogoro huo unaoendela. Sasa, inasemekana kesho atapandishwa kizimbani na yeye.
Indeed kama amefanya wizi inabidi ajibu mashitaka..!!
Lakini binafsi mimi naona hio list ya kuwalipa fidia watu 17 ingeongezwa mpaka 40m ili wananchi wote Tanzania wapate faida ya madini yao na sio kodi ndogo wanazopata sasa hivi..., list ya wa kuwapeleka mahakamani inabidi iongezeke including wale wanaouza nchi yetu in the first place

Alafu huyu jamaa lazima awe careful sana, hawa jamaa wakipata pa kupiga huwa hawajali kama mtu ameshaanguka.., inabidi kwenye hivi vita na mafisadi uhakikishe na wewe sio mchafu.., anyway hao wananchi wasi-concentrate sana na huyu dagaa wakasahau kwamba kuna maadui wao papa na nyangumi bado wapo
 
huyu MP nikuwa namwamin kuliko Bashe kumbe ni hopeless kabisa na hapa yawezekana kafokewa na mafisadi kwa kisingizio cha kuheshim u mkataba

Hata hivyo bado nina maswali mengi Yeye ana elimu ya juu zaidi ktk suala hili najua alifahamu mapungufu yote ya ule mgodi Sasa kwanini aliwwgeuka wananchi kuandamana kupinga dhuruma ya unyonyaji

Labda tumshauri asiige Upinzani unavyotaka awagine wanzake vinginevyo ataachwa sasa sasa
 
Huyu kigwangalla kweli ni kigeugeu saaaana caz juzi nilivyosoma wall post yake kwenye fbuk nilishtuka kidogo..!!! caz alikua amemwaga mkwara kwamba ameufunga huo mgodi na atahakikisha mabeberu wanachapa lapa..!! sasa leo tena yuko upande wa mabeberu hii kali........!!!
 
Back
Top Bottom