Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,986
- 22,173
Hii tabia si njema wanandugu hasa wana ndoa
kaama mmeamua kuaminiana akuna haja ya kukimbizana na small house,..maisha haya yatakufanya usiwe huruu kabisa kwneye familia yako...ukifika nyumbani simu unaweka kwenye ibration,..ikipigwa simu ohh rafki wa ofisii,....ooh huyu alikuwa mate wangu
embu tujiheshimu tuwe wazi kwenye kila sehemu weka simu yako ringing tone ikishine na nyimbo za utukufu wa yesu...usimweke mwenzio kwene maswali majibu yake utalia wewe kama si siku hio ama rest ya maisha yako......
badilika sasa
kaama mmeamua kuaminiana akuna haja ya kukimbizana na small house,..maisha haya yatakufanya usiwe huruu kabisa kwneye familia yako...ukifika nyumbani simu unaweka kwenye ibration,..ikipigwa simu ohh rafki wa ofisii,....ooh huyu alikuwa mate wangu
embu tujiheshimu tuwe wazi kwenye kila sehemu weka simu yako ringing tone ikishine na nyimbo za utukufu wa yesu...usimweke mwenzio kwene maswali majibu yake utalia wewe kama si siku hio ama rest ya maisha yako......
badilika sasa