Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,377
- 33,228
Panya wa nini wakati tayari wanakitu kizuri,roho napenda!hawa paka wanaweza hata kutamani kuwakimbiza panya?
Mkuu kachori ni mambo ya bara!pweza hao kachori ime miss
Huwapendi hawa Pweza kwanini? wewe sio mtu wa Pwani?Mhh mie hao Pweza hata siwawezi
Huwapendi hawa Pweza kwanini? wewe sio mtu wa Pwani?
Ndio huko uliwapiga picha wale pussycat-models wako wenye bikini?Hahahaha kwetu uko zanzibar hapo ni darajani
Ndio huko uliwapiga picha wale pussycat-models wako wenye bikini?
Hahahaha kwetu uko zanzibar hapo ni darajani
Ha ha haaaaa, farkhina apo sio darajani bhana. Apo jawscorner karibu na kwa babuissa muuza ubuyu maarufu znz
Hahahaha kwetu uko zanzibar hapo ni darajani