Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 12,515
- 17,613
Akili ya mwanamke ni zero x 1Kwa hiyo mchungaji anatakiwa amjengee kila muumini nyumba?
Akili ya mwanamke ni zero x 1Kwa hiyo mchungaji anatakiwa amjengee kila muumini nyumba?
Sio unyang'anyi mkuu maana mtu anatoa mwenyeweUjinga mtupu.
Fungu la kumi ni mambo ya kale na lishapitwa na wakati.
Unyang'anyi mtupu
Huu ni uchocheziTupieni na Picha za mjengo wa Mchungaji wa JamiiForums Rev. Kishoka na @masanillo
Bila kutoa pesa neno halitoki ?...., alafu kama robo tatu ya misa inatumika kuhamasisha watu watoe pesa na sio kuwapa chakula cha roho hapo tunakuwa tumeingiza ya Kaisari pasipohusikakuna mtu anaguswa mfukoni; si wanatoa kwa hiari yao?
ngoja watoe ili neno lizidi kuhubiriwa na hatimaye mioyo migumu ipondeke na ufakme utawale!!
HABERA URYA!
sema AMINA! ye mgabo
Unahakika anatajirika kwa hiyo pesa ya wajinga pekeyake?hukumbuki alitajwa na Mwanamfalme kwamba nimmoja wa dealers?... Ila yule Bulldozer ndie anawaburuza wajinga pale Kawe ...Wajinga ndiyo waliwao Mkuu. Gwajima miaka michache tu iliyopita alikuwa hohe hahe kawafuma wajinga wake sasa ni bilionea! Na mifano iko chungu nzima katika nchi nyingi duniani.
HujanielewaKuwa Na wewe Mchungaji ili tukupe.
Nahisi hauko sawa
Acha uchochezi mkuu!!!
Hakuna uchochez hapo,,,
Acha kuongea vitu ambavyo huvijui wewe hao wachungaji wana mishe nyingine kabisa sadaka sio lazima utoe na kingine kama hujui ukifungua kanisa lenye watu kuanzia mia tano unafadhiliwa na makanisa au wahubiri wa kubwa wa nchi za ulaya
Hizi ni nyumba za wachungaji wanao waambia waumini kama wasipolipa zaka au fungu la kumi wataalaaniwa na watakwenda motoni
Nyumba za chini ni nyumba za waumini wenyeweView attachment 1188150View attachment 1188151View attachment 1188152View attachment 1188153View attachment 1188154View attachment 1188155View attachment 1188156View attachment 1188157
Utajili wa wachungaji hauhusiani na kanisa hao wachungaji jaribu kuwachunguza wana mishe zao
Ujinga mtupu.
Fungu la kumi ni mambo ya kale na lishapitwa na wakati.
Unyang'anyi mtupu
Write your reply...nimependa tangazo " hakikisha unalenga tundu" kazi kwenu wana SADC wenzangu
Mito inapeleka maji ziwani/baharini. Hiyo ni kawaida wala hakuna cha kushsngaa hapo.Hizi ni nyumba za wachungaji wanao waambia waumini kama wasipolipa zaka au fungu la kumi wataalaaniwa na watakwenda motoni
Nyumba za chini ni nyumba za waumini wenyeweView attachment 1188150View attachment 1188151View attachment 1188152View attachment 1188153View attachment 1188154View attachment 1188155View attachment 1188156View attachment 1188157