Msolopagazi
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 663
- 153
Jamani nimeona NHC wakitangaza kufukuza wapangaji wenye madeni sugu sasa wameanza na makampuni na mashirika yasiyolipa kodi muda mrefu
pia wamedhibiti uuzaji wa nyumba kati ya mpangaji na mpangaji je nikitaka nyumba Dar nitapata? na ni kwagharama gani? na niende wapi na nimuone nani au Msechu anajifagilia ukienda NHC ukiritimba bado upo?Nawasilisha
pia wamedhibiti uuzaji wa nyumba kati ya mpangaji na mpangaji je nikitaka nyumba Dar nitapata? na ni kwagharama gani? na niende wapi na nimuone nani au Msechu anajifagilia ukienda NHC ukiritimba bado upo?Nawasilisha