Nyumba ya kupanga

Nyauba

JF-Expert Member
Jul 10, 2008
1,098
105
Nitakuwa na wageni kutoka Ulaya ambao watakaa nchini kwa muda wa mwezi mmoja. Wanahitaji nyumba/apartment kwa ajili ya kuishi kwa muda wa mwezi mmoja tuu. Naomba yeyote mwenye taarifa kuhusu nyumba za namna hiyo anijulishe tafadhali. Bei,eneo ilipo na size ya nyumba ni taarifa muhimu.
 
Nitakuwa na wageni kutoka Ulaya ambao watakaa nchini kwa muda wa mwezi mmoja. Wanahitaji nyumba/apartment kwa ajili ya kuishi kwa muda wa mwezi mmoja tuu. Naomba yeyote mwenye taarifa kuhusu nyumba za namna hiyo anijulishe tafadhali. Bei,eneo ilipo na size ya nyumba ni taarifa muhimu.

Unataka ya bei gani?zipo mbezi masaki na mikocheni
 
wako wangapi na watafika lini . kuna nyumba ina vyumba 26, na nyingine 16 tunaweza wasiliana 0686 200 117, 0755 099 291, 0657 145555, ostabey B.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom