Masakata
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 374
- 137
Habari wadau,
Nahitaji nyumba ya kupanga hapa Dar,iwe maeneo ya Sinza,K'nyama,Mikocheni,Mwenge,Survey,Kinondoni,Makumbusho,M/nyamala..kwa ufupi isiwe baada ya Nujoma road,ukitokea mjini Posta,bei 300,000-350,000,vyumba 2-3,gari iwe inafika,..Malipo miezi 6-8,..
kwa wenye nayo au anayeweza nisaidia, aniPM..
N.B
Dalali hatakiwi.
Nahitaji nyumba ya kupanga hapa Dar,iwe maeneo ya Sinza,K'nyama,Mikocheni,Mwenge,Survey,Kinondoni,Makumbusho,M/nyamala..kwa ufupi isiwe baada ya Nujoma road,ukitokea mjini Posta,bei 300,000-350,000,vyumba 2-3,gari iwe inafika,..Malipo miezi 6-8,..
kwa wenye nayo au anayeweza nisaidia, aniPM..
N.B
Dalali hatakiwi.