ipo mbezi beach m. 170 kama unahitaji nipigie 0755217702
Nyumba ya kuishi ya kununua inahitajika vyumba 3 vya kulala iwe na sitting room,bafu,choo,jiko na store ndani,bei isizidi 20m,maeneo ya kimara mpaka Kibamba iwe na umeme,ikiwa na maji itapendeza zaidi.Ukiwa nayo ni pm.