Kuna tunao amini kuwa ukiweka CCTV ni pull factor kwa wezi,wezi wakiona ume exaggerate ulinzi,mara mbwa kali,mara electrified wall,mara razor wire na sasa CCTV wanajua huyu ana mali nyingi ndani ndio maana anajiwekea ulinzi wa kupitiliza,this is what we call MBWA KALI CULTURE