usalama kwanza
JF-Expert Member
- Oct 3, 2012
- 386
- 157
- Thread starter
- #21
Asante ndugu kwa ushauri.'Mteja ni mfalme', 'daima mteja yuko sahihi'. Umeshaweka tangazo lako, subiri wateja na isiwaoneshe wateja wako kuwa huna subira na watu wanapouliza au kuchangia lolote juu ya tangazo lako hata kama hawaongei kwa uzuri