VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Rais wa kwanza wa Tanzania,Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,ameacha vitu vingi vya kukumbukwa ikiwa ni pamoja na nyumba yake ndogo(kwa umbo na thamani) iliyopo kijijini kwake Butiama.Hii ni kielelezo tosha.Imebeba maana kuwa Mwalimu hakupenda makuu na alitaka kufanana na wananchi wake.Marais waliomfuata nao waliapa kufuata nyayo za Mwalimu...