wapi mombasa guest house au eneo gani pale? Mi mwenyeji sana wa maeneo yale. Na sijasikia mtu anauza nyumba! Please give us details tuelewe ni wapi isije ikawa ni biashara hewa.
Ngoja nimpigie Yusuf Manji atafika 500 kabisahaaa haaaa ITS SO CHEAP......ahhh ongeza bei kdg bwna..mbona unauza bei ya kutupa kaka?
fanya km 400m ivi kdg ehh baba?plssssssss
Kweli bana tuache utani..ukitangaza nyumba jitahidi kuweka picha,bei,na reason ya kuuza isije kuwa na mgogoroWeka picha mkuu...tuone thamani ya hiyo 230m!
<br />Hahaaa sasa kaka we unataka kila nyumba inayouzwa usikie wewe kwanza? Ok unaijua pub moja inaitwa 4k? Then nyumba ya pili kutoka kwenye hiyo pub ni upande wa kulia ukiwa unatoka kituoni yaani oposite na geti la hiyo zahanati kuna njia inaingia mtaani unaifuata hiyo mpaka kwenye hako kapub ni kadogo and you take the first left
Nimeku PM my number you can reach me and we work something out ama you can give me your contacts nikupigie
Mh kaka wengine ni madalali ndio maana wanaulizia kwa sana na usidhani wanataka kununua,kwa ninavyoijua Sinza hiyo tayari ni dili,du ngoja niende Miller bar nikapate supu ya pweza na Tusker Malt bariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiidi,dili tayari hiyoHahaaa sasa kaka we unataka kila nyumba inayouzwa usikie wewe kwanza? Ok unaijua pub moja inaitwa 4k? Then nyumba ya pili kutoka kwenye hiyo pub ni upande wa kulia ukiwa unatoka kituoni yaani oposite na geti la hiyo zahanati kuna njia inaingia mtaani unaifuata hiyo mpaka kwenye hako kapub ni kadogo and you take the first left