Ni nyumba ya urithi? Wasi wasi wangu ni gogoro za wana ndugu kwa nyumba hizo.....Imechakaa, ina vyumba nane na eneo lake ni kubwa unaweza jenga nyumba mpya na kubaki na eneo. bei 36m. 0657 14 5555
Kaka nunua tu kama waihitaji,Vipi mandhari ya pembeni yake (neighborhood)??
Gari inafika getini?
Barabara ya kufika hapo ikoje?
Umbali from Main Road?
Documents zote halali zipo?
Usalama wa eneo? (Hakuna kijiwe cha wahuni/walevi pembeni),
Nikija nijiandae na Service Fee ya Tshs ngapi kunipeleka?
Hiyo Nyumba sio mhanga wa Mafuriko?
Na nkinunua we utahitaji % ngapi?
Je ni Kutoka kwangu/muuzaji/both? Kwanini?
hii sehemu haina mafuriko. ni nyumba ya urith ambayo ndugu wote wamesaini mahakamani na wameridhia iuzwe , hayo mengine tutaongea kwenye cm.Vipi mandhari ya pembeni yake (neighborhood)??
Gari inafika getini?
Barabara ya kufika hapo ikoje?
Umbali from Main Road?
Documents zote halali zipo?
Usalama wa eneo? (Hakuna kijiwe cha wahuni/walevi pembeni),
Nikija nijiandae na Service Fee ya Tshs ngapi kunipeleka?
Hiyo Nyumba sio mhanga wa Mafuriko?
Na nkinunua we utahitaji % ngapi?
Je ni Kutoka kwangu/muuzaji/both? Kwanini?