doper
JF-Expert Member
- Apr 12, 2014
- 311
- 148
Nyumba inauzwa, iko bambucha barabara ya kitunda kivule, inavyumba 4 vya kulala kimoja master, sitting room, dinning room, study room, jiko na vyoo vya public, inaumeme na imeezekwa kwa vigae, upande wa nje kuna eneo kubwa unaweza jenga nyumba nyingine kubwa, mawasiliano 0784358388 na 0766100653, mhusika mkuu, sio dalali, bei Tsh 200,000,000/= (Milion 200) majadiliano yapo