House4Sale Nyumba inauzwa 10.5m na benki kwa njia ya mnada

Jun 11, 2011
80
42
Habari JamiiForums members.

Nyumba inauzwa na benki kwa njia ya mnada. -- Nyumba ipo Mbezi, Msingwa

--Nyumba ina kiwanja chenye ukubwa wa 520sq/m-- Nyumba ina vyumba vitatu, kimoja master, seating na dyning room -- Nyumba ina hati ya ardhi-- BEI NI (10m + 5% commission ya brokers)

--Mawasiliano: 0784379396 & 0767309797 ( calls & sms & watsaap)
IMG-20231024-WA0008.jpg
IMG-20231024-WA0003.jpg
IMG-20231024-WA0004.jpg
IMG-20231024-WA0005.jpg
IMG-20231024-WA0009.jpg
 
Habari jamii forums members.
Nyumba inauzwa na benki kwa njia ya mnada. -- Nyumba ipo mbezi msingwa
--Nyumba ina kiwanja chenye ukubwa wa 520sq/m-- Nyumba ina vyumba vitatu, kimoja master, seating na dyning room -- Nyumba ina hati ya ardhi-- BEI NI (10m + 5% commission ya brokers)
--Mawasiliano: 0784379396 & 0767309797 ( calls & sms & watsaap)
Kweli kabisa unatuita ati nyumba inauzwa, GT kabisa wa JF
 
Habari jamii forums members.
Nyumba inauzwa na benki kwa njia ya mnada. -- Nyumba ipo mbezi msingwa
--Nyumba ina kiwanja chenye ukubwa wa 520sq/m-- Nyumba ina vyumba vitatu, kimoja master, seating na dyning room -- Nyumba ina hati ya ardhi-- BEI NI (10m + 5% commission ya brokers)
--Mawasiliano: 0784379396 & 0767309797 ( calls & sms & watsaap)


Nyumba inauzwa kwa mnada, halafu wewe una bei tayari, huu si wendawazimu?
 
Habari jamii forums members.
Nyumba inauzwa na benki kwa njia ya mnada. -- Nyumba ipo mbezi msingwa
--Nyumba ina kiwanja chenye ukubwa wa 520sq/m-- Nyumba ina vyumba vitatu, kimoja master, seating na dyning room -- Nyumba ina hati ya ardhi-- BEI NI (10m + 5% commission ya brokers)
--Mawasiliano: 0784379396 & 0767309797 ( calls & sms & watsaap)
Hii nyumba au pagale?
 
Ni nyumba au PAGALA unajua maana ya nyumba bwashehe


Huyo alokopa ameamua kuuzia benki pagala hilo kiaina watu wahuni sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom