furaha ya moyo
New Member
- Aug 17, 2012
- 1
- 0
Nyumba Inauzwa kwa Mnada
Nyumba nambari KS/MB/671A iliopo mbweni inauzwa kwa mnada wa hadhara kwa idhini ya amri ya Katibu Mtendaji,Kamisheni ya Wakfu na Mali ya Amana, Zanzibar (Kumbukumbu KWNMA/UR/T.166/1994/68). Nyumba hiyo ni kubwa na imekamilika. ina vyumba vitano (5) vyumba viwili ni self contained), kumbi mbili, vyoo na varanda chini na juu kwenye kiroshani pamoja na uwanja wa uzio (fence). Nyumba ipo karibu na pwani na mbweni ruins. Ipo jirani na nyumba za Bwana Ali Mayugwa, Mheshimiwa Seif Sharif Hamad na Bwana Bushta. Siku na tarehe ya mnada itatangazwa na Kamisheni ya Wakfu baada ya siku kuu ya eid el fitri. Kwa maelezo zaidi fika katika Kamisheni ya Wakfu na Mali ya Amana, Forodhani. Ahsanteni View attachment 62213View attachment 62215Nyumba Inauzwa kwa Mnada
Kweli weye nzanzibari atiii,wakaa nchamba wima au jambiani?